Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

Mods ile ya juzi mliifuta,hata hamkuniambia kwanini,ama hata kama kuna marekebisho mgesema yafanyike.Kuifuta haikufaa.

Nilipoianzisha ile thread,kuna walokuwa wakija na kumpa JK ushauri kutokana na hali tete ya amani nchini pamoja na uchumi uliokwama shimoni.

Thread hii ni kwa wale wenye kuataka kumshauri JK nini cha kufanya ili Taifa lisitumbukie kwenye machafuko.

Nawasilisha.

avatar6_3.gif
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Join Date : 27th February 2006
Location : UK
Posts : 3,515

Rep Power : 32

[h=2]
icon1.png
Re: vurugu za mbeya katika picha[/h]
Noambeni rasmi mtu anayefahamiana na JK amuombe anipe majukumu ya kuwa mshauri wake wa kisiasa! Ninaamini nina hekima kuliko waliopo kwa kweli.

Unless......​


 
Tafadhali wewe unayeripoti uko wapi na kama mambo ndio hayo basi wajue peoples power iko kazini. umesikia au umeambiwa
tafadhali tuambie sisi tunasubiri.

habari wana JF Kwa sasa nipo uyole hapa nashindwa kwenda mjini kifupi hali toka asubuhi ni mbaya kuliko hata mnavofikiri hadi sasa ni mwendo wa mabomu hakuna kupumzika na raia nao wapo hi hadi sasa kuna mauaji yameshafanyika .
 
[h=3]Breaking Nuuz Liveee!! Kutoka Mbeya muda huu : Bara bara za Mbeya zafungwa hakuna pa kupita Jeshi laingilia kati lamwaga wanajeshi Risasi zalindima sasa[/h]


Picha hazipo Clear sana kutokana na Mabomu kuwa Mengi wananchi wanaziba barabara kuzuia Magari yasipite

Maeneo ya Ilomba wananchi Bado wanafunga Barabara

Wananchi wamechoma matairi kuzuia usafiri wa aina yoyote usiwepo

Hapa ni Mamajoni ambapo Bara bara zimefungwa.mia

 
Zamani haya maboom tulikuwa tunayaona kwenye mechi tuu huko mbeya but sasa naona yapo tuu mwishoni tutayazoea sasa!
 
Haya huwa yanaanza kido dogo hivi hivi!! Mwisho wake ulikuwa mbaya sana kwa Mubarak!! Yule kijana alivyochoka tu kunyanyaswa na polisi akajilipua moto, mambo yakawa mambo!! Hizi risasi mwishowe si mzuri!!
 
Poleni wana wa Mbeya, Mungu mkubwa kama hakuna maafa yaliyotokea, jamani damu ya binadamu si sawa na damu ya mnyama mwingine, wenye mamlaka waangalie hivi si viashiria vizuri kwa mstakabali wa nchi, watu wana shida na hawaoni mwanga wa matumaini.
 
Wananchi wameonyesha mshikamano, madai yao ni nn hasa? chanzo cha kufanya maandamano hayo ni kudai/shinikiza nn?
 
arusha
mbeya
mwanza
tarime
...................nchi na iamke usingizini.

arusha tulikuwa tuna msubiri dr dr dr dr dr dr kikwete kachomoa dakika za mwisho..sijui ataogoa arusha mpaka lini..safi sana wana-mbeya tuko pamoja kwenye kutafuta ukombozi zidi ya mafisadi
 
hii ni hali ya wananchi waliokata tamaa baada ya kuonewa kudanganywa kuzulumiwa hawaoni shida kupoteza lolote kwani katika hali halisi wameshapotezewa kila kitu. si walaumu kwa wanachofanya laiti wangekuwa wana misingi mizuri ya maisha ajira biashara na kutoonewa kamwe hawawezi kufanya vurugu za namna hii.

Polisi hao hao na mgambo ndio wa kwanza kuwaibia hao wamachinga wenye mitaji midogo wasio na hatia na kujifanya wanakiuka sheria ndio maana wanachukua bidhaa zao uongo mtupo na uonevu huku matajiri wakubwa wakitafutiwa maoneo mazuri na wakati mwingine hata kuwafukuza wazawa na kuwapa matajiri wawekeze kwa hakli hii watu hawachoki na wataacha kufanya vurugu?
 
nyie mnaotaka source subirini taarifa ya habari..kwa tanzania haijawai tokea mabomu kuanza kupigwa asubui mpaka mda huu huo mziki sio wa mchezo ndugu zangu kama una ndugu au rafiki muulize akupe habari hali ni mbaya huko
 
Maumivu ya kichwa hayo, huanza pole pole,

Kwani tumeingiliwa na adui, wananchi wameamua wasikilizwe na wapewe wanachotaka.
 
Inasemekana FFU na polisi wameshindwa kazi huko Mbeya na sasa wanaomba msaada wa jeshi,je hii inamaanisha serikali imetangaza vita dhidi ya wananchi?
dnKisumuKPLC1403e.jpg
 
Kikwete is behind all these things.. Nchi imeshamshinda 2015 sijui kama atamaliza.
 
Safi wana mbeya hapo imbombo ngafu hakuna kulala kandoro kamwaga mboga na nyie mnamwaga ugali safiiiiiii
 
Huyo Kandoro alifikiri hili jambo litakuwa jepesi kabisa, JWTZ imekuwa vita sasa! Kuna kipindi polisi wanapiga mabomu ya machozi mpaka wanaishiwa inabidi wakaombe JW sijui kama hili hlaitatukia Mbeya.
 
Back
Top Bottom