Mara yakwanza kugusa mbeya mzee wangu alinikabidhi sime,vipi MWAMBA bado upo,nipombe flan ilikua inatengenezwa hapo iwambi nafkir,poteza watu sana hiyo pindi inaingia,but mbeya ipo vizuri matukio mengine watu walipaisha tu,mm nimeishi mbalizi hapo kwa amani tu,