shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,304
Wanitangaza clouds hapa
Sio wachawi,ni washirikina balaa.tukisema wanyakyusa wachawi mnabisha aya sasa
Yap wamesema ivyo ila mbona kama kuna mapungufu fulaniNasikia ni kuwa yawezekana mwili waliusahau ndani kuuweka kwenye jenezaa na wakati wa kwenda kuzikaa hawakuwenda kuuaga kwa kuuangaliaa
keahiyo imekuwaje sasa wamekuta nini?
Yap nimeona kuna mapungufu sanaYap wamesema ivyo ila mbona kama kuna mapungufu fulani
Akuna mwenye kumbukumbu mwili ulioshwa na kuwekwa wap? na jeneza lilikuwa wapi? Na uzito wa jeneza likiwa empty na likiwa na kitu mtaona uzito au mtikisiko sasa wanamsahau wapi ?Yap nimeona kuna mapungufu sana
Sasa muhusika mkuu marehemu sasa wao wanamsahau vp au njaa kali
Utulie tu maana najua ukibisha sana utajikuta ulelala katkati ya mtoni mwakala wa shetani
kuchuna ngozi wao
albino wao
wachawi wao
makanisa wao ghrrrrrrrrrrrrr
nina mpenzi wa huko nawazia kumpiga chini hahaha maana nahisi maisha yangu yako matatani............hahaha uwii im just jocking kipenzi najua unaniaona
Swala la maiti kutokutwa kaburini unaliongeleajeAaaargh me siwez nikaamini hilo swala inawezekana kyna mistake zimefanyika mtu hamuwez kumzika af mkamkuta ety kalala ukifa bhn we umekufa tuu
Sasa mkuu unakutaje maiti kaburini wakati wameisahau nyumbanSwala la maiti kutokutwa kaburini unaliongeleaje
niwekee pmPicha zinasambaa whatsapp, za kaburi lilivyofukuliwa na sanduku lilivyofunuliwa. Nimezipakua, ila naogopa kuziweka hapa
tatizo la kufikiri kwa kutumia makalioNadhani mbunge fulani wa upinzani atakuwa katika harakati za kufanya maandalizi ya uchaguzi 2020