Mbeya: Mtoto aliyezikwa jana akutwa chumbani kwake mara baada ya mazishi

Ila inawezekan lakini hii too much mi niliona mahari watu wameshaingia kwenye bus kwaajil ya kusafirisha wakasoma dua kwaajili ya safari wafike salama wanasema Amina wanaingia wanaambiwa mbona sanduku mmeliacha ndani * vitu hivi upati sehemu yoyote zaidi ya Tanzania
 
Akili zimechoka na mengi mpaka tunaanza kusahau zaid ya watu 20 kwny chumba cha maiti wanasahau kiti kimoja tena kilichowaweka pale aisee tunaitaji maombi special
 
Sielewi mara mtoto aliamshwa akawa anashangaa kilichotokea, huku nako kulikuwa na uzembe wa kuandaa mwili wa marehemu, huyo mtoto kafa au inakuaje?
 
Back
Top Bottom