brightoscar
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 369
- 546
Mbuza namfahamu kaanzia chini sana na amefanikiwa sana coz ni mpiganaji wa kweli kwa hulka aliyonayo anaweza kuinyanyua mbeya pia Mbuza for Mbeya 2015 (MFM2015)
sugu moto chn aaah,sugu moto chn aaah,.mwambien huyu mburula sugu ndo moto chn,.!
sugu moto chn aaah,sugu moto chn aaah,.mwambien huyu mburula sugu ndo moto chn,.! Kwa hiyo tumchague kwa sababu ya wimbo huo hana lolote huyo mvuta bangi
ni kwa utafiti gani ulofanya? lipi ambalo mbuza wako kafanya? je amewahi kuitisha hata mkutano wowote? mahudhurio yalikuweje? je umeona nyomi wakati wa mikutano ya Sugu pale viwanja vya Chadema zamani vikiitwa viwanja vya CCM? msalimie sana huyo mbuza Mungu ampe uzima tutampima mwakani,umkumbushe kuwa yawezekanaanampima Sugu kwa kumtazama kwa macho asijue ni wapiga kura wangapi wanamkubali.
Walifuata chopa sio sugu na bahati yake Dr slaa alimalizia kampeni mbeya mind za watu zikawa bado zinamuwaza slaa wakampa kura sugu nje ya hapo jamaa hana lolote hata wakina mkoloni wamemkimbia kawaingiza wakina adili hisabati katika harakati za vinega kachukua hela kawaacha wanakufa njaa mbeya ndoto zao.zimepotea
Mbeya ishageuzwa jimbo la mastaa wa mji. Mpeni tu bwana maana huyu rapa wenu cjaona alichofanya, zaid nakumbuka tu alivyobebwa kutoka bungeni utadhan ile picha ya wavuvi wa kwenye noti ya sh 200 ya zaman wanaotoka na samaki baharini.
Nifahamisheni wadau hapa jamani:
Vijana wa mbeya mjini wamekua wakijutia sana maamuzi yao ya 2010 kumchagua sugu mbeya mjini hasa kwa kuto timiza ahadi zake na kushindwa kusimamia miradi mingi iliyopo jiji la mbeya mfano barabara zinazojengwa ndani ya jiji ni mbovu kashindwa kuisimamia serikali ili zitengenezwe zenye ubora kiasi ya kwamba inawekwa cement badala ya lami na yeye ndo muwakilishi wa jimbo la mbeya mjini na mengine mengi hivo kupelekea kugeuza mitizamo na kuelekeza kwa kijana wao mzawa, msafwa na wa mbeya emmanuel joseph mbuza maarufu kama mbuzax na wa kiahidi kumchukulia fomu ya ubunge 2015..
Wengi nazani mtakubaliana na mimi kwa uchapakazi wa huyu kijana ni amekua role model wa vijana wengi wa jiji la mbeya na kila wamuonapo humuita mbunge mbunge kitu ambacho kinasadikiwa kua ni anguko la sugu ifikapo 2015 karibuni wana jamvi nimewakilisha
Huyu...Mbeya Yetu: KATIBU MWENEZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WILAYA YA MBEYA MJINI ATOA MSAADA KWA WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYAHawa mbuzax walikua wawili,mdogo na mkubwa. Walianza kujulikana kwa kuwa na vyombo vya muziki wakikodisha na kupigisha disco maeneo mbalimbali ya Mbeya town enzi hizo.kijiwe chao kilikua Mitaa ya Soweto karibu ya Moondust na Nkwezuru. Sasa niambie ni kaka mtu au mdogo mtu ndio huyo anataka kugombea na Sugu nimthaminishe hapa!?
nimeseme msafwa katika maana ya uzawaa sio kama ni kigezo chakuonyesha ukabila ila kwa ivo ipo wazi hapa nchi yetu kua mzawa ndo anapewa nafasi na watu kumuamini jimbo lazima lirudi kwa mnyakyusa au msafwaa
kama umetumwa waambie hao walokutuma haiwezekan kupokea ushaur wako wa kijinga
si bora huyo sugu aliyekaa madarakani miaka4 kuna barabara za lami za mitaani, hao waliokaa toka uhuru wamefanya nnNifahamisheni wadau hapa jamani:
Vijana wa mbeya mjini wamekua wakijutia sana maamuzi yao ya 2010 kumchagua sugu mbeya mjini hasa kwa kuto timiza ahadi zake na kushindwa kusimamia miradi mingi iliyopo jiji la mbeya mfano barabara zinazojengwa ndani ya jiji ni mbovu kashindwa kuisimamia serikali ili zitengenezwe zenye ubora kiasi ya kwamba inawekwa cement badala ya lami na yeye ndo muwakilishi wa jimbo la mbeya mjini na mengine mengi hivo kupelekea kugeuza mitizamo na kuelekeza kwa kijana wao mzawa, msafwa na wa mbeya emmanuel joseph mbuza maarufu kama mbuzax na wa kiahidi kumchukulia fomu ya ubunge 2015..
Wengi nazani mtakubaliana na mimi kwa uchapakazi wa huyu kijana ni amekua role model wa vijana wengi wa jiji la mbeya na kila wamuonapo humuita mbunge mbunge kitu ambacho kinasadikiwa kua ni anguko la sugu ifikapo 2015 karibuni wana jamvi nimewakilisha
Ikumbukwe sugu kafanya mapi duzi ya bunge mpaka lina dhalaulika(adi 20% anataka ubunge,afande sele pia) kwa tabia zake za kukosa ni dhamu tunajilaumu sana hapa mbeya mjini