kitu kikubwa kinacho kufanya umuona anafaa ni uzawa na usafwa wake mapambo mengine uliyompamba nayo ni mbwembwe.mahubiri yale yale ya magamba ya kuwabaguwa watu kwa ukabila,udini na ukanda.
nyie hamuijui mby hats ulete jk hatamshinda sugu,we we kwani pesa za barbara kaleta sugu sio hi yo bali ni mapambano yake mbunge josé ache i uccm
hawa mbuzax walikua wawili,mdogo na mkubwa. Walianza kujulikana kwa kuwa na vyombo vya muziki wakikodisha na kupigisha disco maeneo mbalimbali ya mbeya town enzi hizo.kijiwe chao kilikua mitaa ya soweto karibu ya moondust na nkwezuru. Sasa niambie ni kaka mtu au mdogo mtu ndio huyo anataka kugombea na sugu nimthaminishe hapa!?
aliekutuma amekulipa sh.ngapi?
nimeseme msafwa katika maana ya uzawaa sio kama ni kigezo chakuonyesha ukabila ila kwa ivo ipo wazi hapa nchi yetu kua mzawa ndo anapewa nafasi na watu kumuamini jimbo lazima lirudi kwa mnyakyusa au msafwaa
nyie hamuijui mby hats ulete jk hatamshinda sugu,we we kwani pesa za barbara kaleta sugu sio hi yo bali ni mapambano yake mbunge josé ache i uccm
mpuuzi mkubwa wewe m yani mijitu inayoendekeza udini na ukabila ningekua na uwezo wa kuichoma moto ningeichoma moto yote
ccm endeleeni kuota ndoto za mchana