Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Madiwani watatu wa Chadema mjini Mbeya, katika Kata ya Manga (Newton Mwatujobe), Sisimba (Geofrey Kagili) na Kata ya Lwambi (Humphrey Ngalawa), wamevuliwa uanachama wa chama hicho
Sababu zilizotolewa ni utovu wa nidhamu na kukiuka taratibu za chama hicho
Sababu zilizotolewa ni utovu wa nidhamu na kukiuka taratibu za chama hicho