Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,699
- 26,216
Mimi hata siwaelewi elewi hawa jamaa.Kwa kifupi CHADEMA ni wanafiki sana walisema madiwani wao waunge mkono wakiwa huko huko bila kuhama vyama leo hii wameunga mkono juhudi za awamu ya tano za kuwaletea maendeleo wananchi wanait2a wasaliti!