aliyetegwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 312
- 477
Yaanih umepiga mlemle, nilipokua nikisoma nilikua napata picha ya Mabina tuu.Dah! Tukio Hilo nalifananisha na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa Mwanza ndg Mabina, Cha muhimu tuache kiburi cha wadhifa, cheo au ukwasi kuonea wengine.