funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
- Thread starter
- #21
duh mie na kupika vitu viwili tofauti anyway labda nijifunze ukubwani nadhani siku hiyo wife anaweza kuzirai kwa mshangao maana hata pa kuwashia jiko sipajuiMkuu Funzadume sio lazima ukate vitunguu hata kugeuzakeuza vilivyopo jikoni ukimsaidia kukarangiza sio mbaya, HG nae anatakiwa apumzike akapunguze uzito nje jamani