Hata mimi nashangaa....PUTIN siyo mfupi kiasi cha kuitwa mbilikimo...dah...western propaganda nyingine ni shiiiiiidaUtamwitaje Putin mbilikimo?
Hata mimi nashangaa....PUTIN siyo mfupi kiasi cha kuitwa mbilikimo...dah...western propaganda nyingine ni shiiiiiidaUtamwitaje Putin mbilikimo?
Sijui kala maharage ya wapiMleta uzi, umekula?
Wala siyo western prop,ni yeye tu mleta mada.Kwa hili west hawahusiki.Hata mimi nashangaa....PUTIN siyo mfupi kiasi cha kuitwa mbilikimo...dah...western propaganda nyingine ni shiiiiiida
Tambua jambo moja kubwa Kiduku anapewa tekinolojia na mrusi, na kawekwa pale kwa kazi maalumu, kama warusi walivyofanya cuba ndicho walichokifanya korea kaskazin. Kumbuka kambi kubwa za marekani zilizopo asia zipo korea kusini na japan, hivyo kiduku kazi yake kubwa endapo vita itatokea between russia na marekani la kwanza analotakiwa fanya ni kuhakikisha korea kusini na japan zinakuwa majivu within a secondPoint kubwa ni kuwa Marekani hata siku moja hataki vita ipigwe kwenye ardhi yake.
Sasa na vitisho vya Putin na Kiduku kuwa na silaha zenye zenye uwezo wa kupiga US mainland within minutes (Intercontinental Balistic Missiles) na zenye uwezo wa kukwepa radar detection ndio jambo ambalo linawakosesha raha na kufyata mkia.
Pia madai ya Kiduku kuwa na Nuclear war heads na ICBMs kunawanyima usingizi US maana wanajua wakilianzisha tu jamaa hawatajibizana nao kwenye uwanja wa mapambano bali wata focus US mainland ndio pawe uwanja wa mapambano na pawe totally devastated.
Ni raisi gani anaweza kutake risk zote hizo? Hakuna labda awe taahira.
Hakuna cha mbinu za kumpoteza adui wala nini. Kaingia baridi baada ya kuona Putin hatishiki!!! Mwenyewe kalazimika kubadili gia angani!Mashambulizi ya kijeshi ni mbinu za kumpoteza adui. Trump katoa taadhali, majeshi ya Syria, Iran na Urusi wapo makini kwa sasa hivi. Zikipita siku Majeshi yatajisahau huo ndo wakati wa America kutuma Kombora. Mfano nzuri kutoka kwa Israel Mashambulizi yao huwa wanatulia utasikia alfajili uwanja wa ndege umeshambuliwa
Kona mbaya kabisa ya kufa MTU!!!cheza na Urusi aiseh.!!!?Nina uhakika SAA hii Trump atakuwa anajutia mkwara wake wa kuitishia urusi kuwa ijiandae maana ataishambulia Syria kwa makombora mazuri, mapya na janja!! (nice, new and smart)). Saa hii anajiuliza nisiposhambulia kama nilivyoahidi dunia yote wataniona mwoga! na nikishambulia maana yake nitegemee urusi kujibu mapigo kwa nguvu zote kama walivyoonya!!
Kitakachotokea ni marekani kutafuta upenyo wa kula kona kistaarabu kwa kuja na ngonjera hii: "Tumethibitisha kuwa hakuna silaha za kemikali alizotumia Syria kwa hiyo ule mpango wa kuishambulia tumeusitisha". Kwa namna hiyo atakuwa amekula kona kiaina!!!
Mshirika wake namba moja uingereza keshaonyesha dalili za kuingia mitini tayari na amesema itabidi marekani iwe na uthibitisho kwanza!!
Timu trump jiandaeni kisaikologia kumwona kinara wenu akila kona!! Kwanza alisema masaa 48 na yameisha!! Mdogo wake ufaransa akasema masaa 72 watakuwa wameshambulia nayo yanaishia!!! Timu trump jiandaeni kwa fedheha!!! Huwezi kumtishia nyau Putin!!
unaumwa wwe kapimweUSA mchumba tu
Wala siyo western prop,ni yeye tu mleta mada.Kwa hili west hawahusiki.
Urussi sio Afghanistan mjomba...eti majeshi ya urussi yajisahau hivi unajua unachokisemaMashambulizi ya kijeshi ni mbinu za kumpoteza adui. Trump katoa taadhali, majeshi ya Syria, Iran na Urusi wapo makini kwa sasa hivi. Zikipita siku Majeshi yatajisahau huo ndo wakati wa America kutuma Kombora. Mfano nzuri kutoka kwa Israel Mashambulizi yao huwa wanatulia utasikia alfajili uwanja wa ndege umeshambuliwa
