TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,297
- 28,006
Sasa wewe unajuwa nilicho maanisha, Jaribu kufuatilia kuhusu mashambulizi yanakuwa ya ghafla. Hivi Israel aliposhambulia huko Syria hivi karibun na kuua wanajeshi wa 15 wa Iran unadhani Urusi hakuwepo huko Syria so ungeweza kutungua makombora yote ya Israel.Urussi sio Afghanistan mjomba...eti majeshi ya urussi yajisahau hivi unajua unachokisema![]()
Kaa kimya mkuu,Huu uzi nahisi umetolewa na kijana wa darasa la saba, tena failure. Haelewi kabisa implications za vita ila anasumbuliwa tu na ushabiki maandazi.
Majuzi tu kwenye ile suspected chemical attack ya awali mbona Syria ilishambuliwa sasa hizo S400 zilienda wapi siku hiyo au hata Israel walipowashambulia majuzi hizo "Sophisticated Air Defense Systems" mbona hazikuzuia shambulizi.
Watanzania wanapenda sana ushabik maandazi. Hao American Military mbona wapo kwenye ardhi ya Syria muda mrefu mbona siku zote hizo wasivurumishwe na The Russian Red Army? Mbona hamfikirii hilo? Kelele ndio nyingi tu humu for nothing.
Jamani mtunze kumbukumbu ya maneno yenu kipenga kikilia msigeuke.Mkuu nakuunga mkono, USA wamebaki na Ngonjera kama za Iran dhidi ya Israel, Utawala wa Trump ndo utakuwa dhaifu kijeshi katika historia ya nchi hiyo
Nina uhakika SAA hii Trump atakuwa anajutia mkwara wake wa kuitishia urusi kuwa ijiandae maana ataishambulia Syria kwa makombora mazuri, mapya na janja!! (nice, new and smart)). Saa hii anajiuliza nisiposhambulia kama nilivyoahidi dunia yote wataniona mwoga! na nikishambulia maana yake nitegemee urusi kujibu mapigo kwa nguvu zote kama walivyoonya!!
Kitakachotokea ni marekani kutafuta upenyo wa kula kona kistaarabu kwa kuja na ngonjera hii: "Tumethibitisha kuwa hakuna silaha za kemikali alizotumia Syria kwa hiyo ule mpango wa kuishambulia tumeusitisha". Kwa namna hiyo atakuwa amekula kona kiaina!!!
Mshirika wake namba moja uingereza keshaonyesha dalili za kuingia mitini tayari na amesema itabidi marekani iwe na uthibitisho kwanza!!
Timu trump jiandaeni kisaikologia kumwona kinara wenu akila kona!! Kwanza alisema masaa 48 na yameisha!! Mdogo wake ufaransa akasema masaa 72 watakuwa wameshambulia nayo yanaishia!!! Timu trump jiandaeni kwa fedheha!!! Huwezi kumtishia nyau Putin!!
Simpendi Trump lakini ukweli ni kwamba Marekani si mchezo. Kuna hawa watoto humu ndani wanasikitisha sana...hawajui chochote lakini kwa midomo ni uswahili mtupu.Niaje arifu? Umelala? Hebu washa tivii yako hapo basi....teh teh
Niaje arifu? Umelala? Hebu washa tivii yako hapo basi....teh teh
Simpendi Trump lakini ukweli ni kwamba Marekani si mchezo. Kuna hawa watoto humu ndani wanasikitisha sana...hawajui chochote lakini kwa midomo ni uswahili mtupu.
Bado umelala?Nina uhakika SAA hii Trump atakuwa anajutia mkwara wake wa kuitishia urusi kuwa ijiandae maana ataishambulia Syria kwa makombora mazuri, mapya na janja!! (nice, new and smart)). Saa hii anajiuliza nisiposhambulia kama nilivyoahidi dunia yote wataniona mwoga! na nikishambulia maana yake nitegemee urusi kujibu mapigo kwa nguvu zote kama walivyoonya!!
Kitakachotokea ni marekani kutafuta upenyo wa kula kona kistaarabu kwa kuja na ngonjera hii: "Tumethibitisha kuwa hakuna silaha za kemikali alizotumia Syria kwa hiyo ule mpango wa kuishambulia tumeusitisha". Kwa namna hiyo atakuwa amekula kona kiaina!!!
Mshirika wake namba moja uingereza keshaonyesha dalili za kuingia mitini tayari na amesema itabidi marekani iwe na uthibitisho kwanza!!
Timu trump jiandaeni kisaikologia kumwona kinara wenu akila kona!! Kwanza alisema masaa 48 na yameisha!! Mdogo wake ufaransa akasema masaa 72 watakuwa wameshambulia nayo yanaishia!!! Timu trump jiandaeni kwa fedheha!!! Huwezi kumtishia nyau Putin!!
Bado umelala?
Syria imeshambuliwa vipi mrusi ana neno mrusi anachochote kwa marekani mbwa koko tuMarekani bila vikwazo na kuomba support kutoka kwa EU ana jipya.......ki ufupi kama inatokea battle ya kueleweka marekani anakaa mapema sana
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahatimu Russia hamna jipya..... Hivi yale machumachuma yenu s400 inamaana jana hamkuyawasha au umeme huko ulikuwa hakuna?.. Maana sio kwa kudundwa kule lol
The US had communicated with Russia ahead of the strikes through the normal procedures of their "deconfliction" hotline, which is used to prevent accidental clashes in a war zone. Trump kampigia magoti Putin kumwomba amruhusu ashambulie kwa masharti kuwa ni shambulizi la Mara moja tu lisilozidi SAA moja na asijichanganye kuingia maeneo yenye silaha za Russia!! Hata hivyo makombora 71 kati ya 103 yamedunguliwa na silaha za kizamani sana za soviet za miaka ya sabini zinazotumiwa na Syria yaani S125!!! Aibu!!!Bado umelala?
Kwa taarifa yako S400 iko deployed maeneo ambako kuna vituo vya urusi nchi Syria na hakujichanganya maaeneo.timu Russia hamna jipya..... Hivi yale machumachuma yenu s400 inamaana jana hamkuyawasha au umeme huko ulikuwa hakuna?.. Maana sio kwa kudundwa kule lol