Mbele ya Urusi, Marekani lazima ale kona!

Mbele ya Urusi, Marekani lazima ale kona!

Kama nilivyosema kwenye Uzi huu kuwa mzee mzima Trump lazima ale kona mbele ya Putin, sasa yametimia! keshakula kona tayari! Sasa hivi anasema hajawahi kusema ni lini ataishambulia Syria, wakati dunia nzima ilimsikia akisema atashambulia ndani ya masaa 48!!! Mzee mzima kula kona aibu!! Msikie Trump anavyosema sasa:
US President Donald Trump, who said on Wednesday that missiles were "coming", has now tweeted that he "never said when".
Watu husema ukiamua kuwa mwongo basi angalau uwe unakumbuka Yale uliyosema!!! Yule wa ufaransa alitoa Massa 72 na yameshapita kitambo!!!!
Trump anachoweza kufanya dhidi ya urusi ni kuiwekea vikwazo vya kiuchumi, lakini kwa habari ya ulingoni Urusi ni MAJI marefu sana!! hayaogeleki!!!
Habari yako mkuu!
 
Vita sio kitu cha kushabikia kama una akili timamu. Ni mpumbavu tu ambaye yeye atakuwa team URUSI au team USA kushabikia vita wakati wananchi wasio na hatia ndio wanaopoteza maisha na kukosa makazi. Tusishabikie ujinga ujinga over.
 
Back
Top Bottom