Wakubwa salaams, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata mbegu za nyanya aina ya F1 hapa dar es salaam anifahamishe. Ahsante.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Salute mkuu, nitawatafuta.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ukizikosa hapo ni Pm nikupe namba ya jamaa wanakampuni ya kuuza mbegu wanazo hizo mbegu
Ukizikosa hapo ni Pm nikupe namba ya jamaa wanakampuni ya kuuza mbegu wanazo hizo mbegu
Mkuu, nitumie na mimi. Nahitaji sana kwa ajili ya bustani yangu.
mkuu Sabayi
Natafuta mbegu za Lucerne grass/ alfalfa
waweza kunisaidia upatikanaji
Mkuu SEBAYI!!!
Naamini ni wengi tunao hitaji upatikanaji wa hizi mbegu zote. Tinawaomne hizo namba za simu au duka linalouza hizo mbegu za nyanya F1 & na vitunguu vya kisasa ns pilipili hoho uweke adharani ili wote tufaidike kaka
Mkuu nimekutumia no yake hawa jamaa wana mbegu nzuri sana za hybrid sasa hivi wana mbegu mpya ya kitunguu inaitwa Jambar F1 inatoa gunia 230 kwa eka mimi ntaipanda next month na wana mbegu ya hoho inatoa tani 20 kwa eka hizi hybrid wenzetu kenya wameshaanza sana kuzilima
Mkuu sidhani kama ni busara kuweka hadharani namba za mtu bila idhini yake atakaye kuwa serious anahitaji ntakuwa na MP,Na wewe nimekupm zicheki
Ukizikosa hapo ni Pm nikupe namba ya jamaa wanakampuni ya kuuza mbegu wanazo hizo mbegu
Si iweke hapa wengi tufaidike?
Duh, mambo haya si ya pm ni ya maendeleo kwa wote.
Si busara kuweka no ya mtu bila idhini yake