Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,123
- 62,112
Ku-ukubali ukweli ni ngumu😅😅 sasa hii mada inaugumu gani?
Wapo zaidi ya 10Una watoto wangapi mpaka sasa mkuu,au wewe ni mgumba?
uliozeshwa kenge wewe,mwanamke hakukutaka kama mimi wanavyonigombania.Wapo zaidi ya 10
SawaKama huna mtoto mpaka sasa, na hakuna mwanamke aliyekuja kukuomba uzae nae, juwa kuwa mbegu yako si nzuri.
Ata kwenye mashamba, huwa tunachagua mbegu nzuri na kuiotesha, hivyo hivyo na kwenye mifugo, tutaangalia ile mbegu nzuri na kuipandikiza kwenye jike.
Pia, na kama unatumia pesa nyingi kwenye kuhonga ili umpate umpendaye, hii pia inathibitisha mbegu yako si nzuri.
Mbegu nzuri, sehemu yoyote utafutwa kwa gharama yoyote, na mbegu mbaya upambana ili iweze kuonekana ni nzuri.
Hii ni mada ngumu, lakini ndio ukweli wenyewe.
Mbegu mbovu utazijua tu 😀uliozeshwa kenge wewe,mwanamke hakukutaka kama mimi wanavyonigombania.
ha ha ha haSawa
Oktoba mkattkii ili mpate mbegu bora
Tupe ushuhudaaisee
Tupe ushuhudaAsee
Kama huna mtoto mpaka sasa, na hakuna mwanamke aliyekuja kukuomba uzae nae, juwa kuwa mbegu yako si nzuri.
Ata kwenye mashamba, huwa tunachagua mbegu nzuri na kuiotesha, hivyo hivyo na kwenye mifugo, tutaangalia ile mbegu nzuri na kuipandikiza kwenye jike.
Pia, na kama unatumia pesa nyingi kwenye kuhonga ili umpate umpendaye, hii pia inathibitisha mbegu yako si nzuri.
Mbegu nzuri, sehemu yoyote utafutwa kwa gharama yoyote, na mbegu mbaya upambana ili iweze kuonekana ni nzuri.
Hii ni mada ngumu, lakini ndio ukweli wenyewe.
Oya mbegu nzuri ndio kama yangu maana katoto kako kamoja nilikusaidia😂😂😂😂Kama huna mtoto mpaka sasa, na hakuna mwanamke aliyekuja kukuomba uzae nae, juwa kuwa mbegu yako si nzuri.
Ata kwenye mashamba, huwa tunachagua mbegu nzuri na kuiotesha, hivyo hivyo na kwenye mifugo, tutaangalia ile mbegu nzuri na kuipandikiza kwenye jike.
Pia, na kama unatumia pesa nyingi kwenye kuhonga ili umpate umpendaye, hii pia inathibitisha mbegu yako si nzuri.
Mbegu nzuri, sehemu yoyote utafutwa kwa gharama yoyote, na mbegu mbaya upambana ili iweze kuonekana ni nzuri.
Hii ni mada ngumu, lakini ndio ukweli wenyewe.
Kuna msemo unasema, mwenye nguvu mpishe
Maana yake, mbegu ni mbovuUkiwa na mpunga utaliliwa kma zuchu anavomlilia mondi
Hitaji lao la kwanza ni uhakika wa maisha (pesa)- anaweza kuwa na wewe akazaa na muhuni huko nje.Hivi unajua wanachokitaka wanawake wewe?siku ukijua utaenda kulala na jiwe Equation x