Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀

Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀

Mbegu ya mnyonyo baadhi ya maeneo kusini nwa Tanzania locals wanatumia kwa Family planning nmejionea kwa pts walokua wakifika na kunipa maarifa hayo
Wanakunywa hizo mbegu hawashiki mimba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom