Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,377
Jamaa anakera jamaniAcha Roho mbaya hapo mlipo huyo ni shemeji yenu wote kutangulia kufika Town isiwe nongwa.
Jamaa anakera jamaniAcha Roho mbaya hapo mlipo huyo ni shemeji yenu wote kutangulia kufika Town isiwe nongwa.
Yaani dawa uinywee dawa tena?Ni dawa ya kusafisha tumbo
Yani Kila mavi yatatoka tumboni iwe magumu mepesi meusi hadi maji yatatoka
Dawa yake ni unywe maji bariiiiiiiidi na chungwa ndio yanakata