Mbegu bora za mbogamboga

Mbegu bora za mbogamboga

keniTz

Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
15
Reaction score
34
Hello habari. Kampuni ya KENI AGROPARK LIMITED inawakaribisha wote wenye maduka ya pembejeo(agrovets) pamoja na wakulima binafsi kuweza kujipatia mbegu bora za mbogamboga zilizothibitishwa ubora(certified seeds) katika kampuni yetu. Mbegu zetu ni OPVs zenye ubora wakuaminika na zikiwa katika ujazo wa gram25.

Ofisi zetu zinapatikana Usariver Arusha.

Karibuni nyote muweze kujipatia mbegu bora za mbogamboga na katika bei rafiki.

Kwa mawasiliano tupigie kwa namba 0746762365/0626532223

IMG_20260120_100204_779.jpg
IMG_20260120_100224_061.jpg
IMG_20260120_100238_006.jpg
IMG_20260120_100245_530.jpg
IMG_20260120_100359_169.jpg
IMG_20260120_100749_017.jpg
IMG_20260120_100803_186.jpg
IMG_20260120_100811_664.jpg
IMG_20260120_100820_417.jpg
IMG_20260120_100948_542.jpg
IMG_20260120_100803_186.jpg
 
Ati tueleze zaidi, tupande wapi? Kuvuna baada ya muda gani? Ukuzaji upoje?

Muhimu kutangaza na info zaidi haswa humu kwa sababu hatujagi kwa namba kirahisi rahisi...

Uwanja wa maketingi muhimu kwa biashara..

Ati tueleze zaidi, tupande wapi? Kuvuna baada ya muda gani? Ukuzaji upoje?

Muhimu kutangaza na info zaidi haswa humu kwa sababu hatujagi kwa namba kirahisi rahisi...

Uwanja wa maketingi muhimu kwa biashara..
Nashkuru sana kwa maoni yako. Katika suala la mbegu, kuna aina kuu mbili za mbegu ambazo ni hybrid na OPV.
Hybrid ni mbegu iliyoongezewa nguvu kwa kuunganisha genes za mbegu kadhaa tofauti ili kupata mbegu bora zaidi kwa upande wa uzalishaji, na mbegu hii huoteshwa maramoja tu bila kuirudia shambani, pia mbegu hii inafaa kulimwa katika green houses.

OPV ni mbegu ya asili ambayo ina genes za asili na huweza kulimwa popote, pia ni mbegu inayovumilia ukame na magonjwa zaidi kuliko hybrid.

Mbegu zetu ni OPV, hivyo unaweza kuilima mkoa wowote na katika shamba wazi(sio lazima green house) na ikakupa matokeo bora.

Katika upande wa uzaaji pamoja na namna yakulima, hapo kila zao linajitegemea maelezo yake. Hivyo mteja akiwa ana uhitaji wa mbegu flani, ndio tunampatia maelezo yote kuhusu mbegu husika kuanzia namna yakulima, matunzo pamoja na uzaaji wa zao husika.
Karibu sana.
 
Nashkuru sana kwa maoni yako. Katika suala la mbegu, kuna aina kuu mbili za mbegu ambazo ni hybrid na OPV.
Hybrid ni mbegu iliyoongezewa nguvu kwa kuunganisha genes za mbegu kadhaa tofauti ili kupata mbegu bora zaidi kwa upande wa uzalishaji, na mbegu hii huoteshwa maramoja tu bila kuirudia shambani, pia mbegu hii inafaa kulimwa katika green houses.

OPV ni mbegu ya asili ambayo ina genes za asili na huweza kulimwa popote, pia ni mbegu inayovumilia ukame na magonjwa zaidi kuliko hybrid.

Mbegu zetu ni OPV, hivyo unaweza kuilima mkoa wowote na katika shamba wazi(sio lazima green house) na ikakupa matokeo bora.

Katika upande wa uzaaji pamoja na namna yakulima, hapo kila zao linajitegemea maelezo yake. Hivyo mteja akiwa ana uhitaji wa mbegu flani, ndio tunampatia maelezo yote kuhusu mbegu husika kuanzia namna yakulima, matunzo pamoja na uzaaji wa zao husika.
Karibu sana.

Hongera tutakaribia
Endelea kushtua uzi kila baada ya siku kadhaa ukija na mapya au hata picha
 
Katika upande wa uzaaji pamoja na namna yakulima, hapo kila zao linajitegemea maelezo yake. Hivyo mteja akiwa ana uhitaji wa mbegu flani, ndio tunampatia maelezo yote kuhusu mbegu husika kuanzia namna yakulima, matunzo pamoja na uzaaji wa zao husika.
Karibu sana.
Bwa mdogo hiyo ni biashara hamna cha kuficha hapo weka bei moja kwa zote.
Kuna dogo analala tu huko shamba si bora alime bustani.
Nyanya, mchicha,Bamia, na majani ya maboga.
Weka bei hapa
 
Bwa mdogo hiyo ni biashara hamna cha kuficha hapo weka bei moja kwa zote.
Kuna dogo analala tu huko shamba si bora alime bustani.
Nyanya, mchicha,Bamia, na majani ya maboga.
Weka bei hapa
Ni kweli bora umnunulie mbegu alime. Nitatuma chart inayoonyesha bei za kila variety
 
Kabisa mkuu. Wakulima wote waje wajipatie mbegu bora za mbogamboga
Hakuna kitu nachopenda kama kulima bustani kwa ajili ya mboga za matumizi ya nyumbani. Siku nikikaa sawa nitawatafuta. Kuna mdau kaulizia mbona hamna maelezo ya ulimaji... Hii ni knowledge anayotakiwa kuwa nayo mkulima. Muuza mbegu anatoa maelezo mafupi sana kuhusu mbegu aina ya mbegu anazouza.
 
Hakuna kitu nachopenda kama kulima bustani kwa ajili ya mboga za matumizi ya nyumbani. Siku nikikaa sawa nitawatafuta. Kuna mdau kaulizia mbona hamna maelezo ya ulimaji... Hii ni knowledge anayotakiwa kuwa nayo mkulima. Muuza mbegu anatoa maelezo mafupi sana kuhusu mbegu aina ya mbegu anazouza.
Upo sahihi mkuu. Pia kila mbegu ina maelekezo yake tofauti, hivyo mteja akinunua mbegu flani ndio tutampa maelekezo yake. Karibu sana pia
 
Back
Top Bottom