Mbatia 'aipa' CCM ushindi kuongoza Halmashauri ya Uvinza

Mbatia 'aipa' CCM ushindi kuongoza Halmashauri ya Uvinza

........Tusidanganyane ..hakuna kitu kibaya kama njaa.... hasa inapochanganyika na swala la kulipa fadhila....
 
Wala usishangae make NCCR-Mageuzi si chama cha upinzani! Mwenyekiti wake ni mteule wa Rais wa Serikali ya CCM! Walipaswa kuipa CCM ushindi wa moja kwa moja badala ya kuhairisha uchaguzi!

Kitendo cha Mkiti wa NCCR James Mbatia kukataa makubaliano yaliyokuwa yamefikiwa kati ya NCCR na CHADEMA kuongoza halmashauri ya Uvinza yamesababisha CCM kutumia mwanya huo na kutwaa nafasi ya Makamu Mkiti wa Halmashauri hiyo.

Kwa upande wa nafasi ya Mkiti uchaguzi umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena baada ya vyama vyote vitatu kushindwa kupata theluthi mbili ya kura.

Katika nafasi ya Mkiti vyama vyote vitatu viliweka wagombea ambapo CCM ilipata kura 8 CHADEMA kura 7 na NCCR kura 6.

Nafasi ya Makamu Mkiti mgombea wa CCM hakuwa na mpinzani na alipita bila kupingwa.

Katika makubaliano ya awali ngazi ya wilaya na mkoa vyama vya NCCR na Chadema vilikubaliana kuachiana nafasi ambapo ilukubaliwa CHADEMA igombee nafasi ya Mkiti na NCCR Makamu Mkiti.

Katika hali ya kushangaza siku ya kurudisha fomu vyama vyote viwili vilirudisha fomu nafasi ya Mkiti na NCCR ikakataa kugombea nafasi ya Makamu Mkiti hivyo mgombea wa CCM akapita bila kupingwa.

Inadaiwa Mkiti wa NCCR James Mbatia ndiye aliingilia kati kuvunja makubaliano ya vyama hivyo na hatimaye ushindi ukawa upande wa CCM
 
Sasa CCM imevuka mipaka..!
Inataka kuwa na mahawara wangapi??wao kila siku wanawaza nyumba ndogo tuh??
Mbatia ndoa za mitara utaziweza??wenzako huku Mtwara zishawashinda wanabaki kulalama tuh,shauri lako mbatia baadae usije ukamtafuta wa kumlilia lilia hapa...
 
Ni kweli inavyoonekana NCCR wataunga mkono CCM kwenye nafasi ya Mkiti pia.

Mbatia alikuwa mpinzani wa kweli miaka ile ya early 90s lakini baada ya kupoteza ubunge wa Vunjo na NCCR Mageuzi kuyumba sana hapa katikati alilazimika kujisalimisha ccm. Sasa hivi anaitumikia ccm kwa mwavuli wa upinzani.

Wacha nccr wawape ccm huo uenyekiti na makamanda wa Chadema tuendelee kuchapa kazi kwakuwa baada ya uchaguzi mkuu 2015 ccm na nccr mageuzi watakuwa pamoja tena wakiwa upande mmoja wa upinzani.
 
Ni wakati wa chadema kuwarejesha kundini akina Kafulila ili hiyo kigoma waidhibiti huyo Bwabwa aone kama atapewa tena viti maalum
 
Kama unataka kupotosha, jua unapotosha tu waliozaliwa baada ya 2010... Vyama vyote vya upinzani vyenye wabunge ndivyo vilivyokataa kujumuishwa kwenye kambi rasmi ya upinzani. JF yenyewe inatosha kukukumbusha, nenda kwenye previous threads kama umesahau...

Sijui ni usahaulifu au ndiyo vichwa vigumu ................... CCM wanashindwa kuelewa kuwa hii ni karne ya dotcom!! Everything is on your finger tips.
 
kwenye gazeti la jana la TANZANIA DAIMA kupitia safu yake ya JAMVI LA BA MDOGO..kuna makala inasema hivi..CHADEMA KUSHIRIKIANA NA CHAMA KINGINE NI KUPOTEZA MUDA..Kuna sehemu Ba mdogo anasema" Nashangaa kwa nini chedema walikubali kuingia mkenge huu wa kukubali kushirikiana NCCR-Mageuzi ili kuunda uongozi wa halmashauri kama chadema imekosa idadi ya madiwani itakayowezesha kuunda halmahuri peke yake ijipange upya kutafuta kuliziba pengo hilo kwa kuhakikisha wanapata madiwani wa kutosha
 
kuliko chadema kurudia matapishi ni bora hiyo halmashauri iongozwe na hao hao magamba........
 
Wana Kigoma na Watanzania wote kwa ujumla hasa kwa wale wapenda mabadiliko nadhani mnajifunza ni vyama gani vya kuvipa kura na vyama gani vipo kwa ajili ya matumbo yao!Mbatia kushika nafasi ya tatu jimboni kawe akitanguliwa na KINAMAMA wawili,si kua wapiga kura walikua na chuki nae,bali walimpima uwezo wake kihoja na kimsimamo uko dhaifu kuliko hata wale wanawake!hongera Mbatia kwa kuendelea kuichimbia kaburi NCCR kwa ajili ya tumbo lako
 
CHADEMA mkakati wenu wa kutumia majukwaa ya kisiasa, vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kutukana vyama vingine na viongozi wao hautawasaidia kamwe. Ni bora tu busara irejee miongoni mwenu muachane na huu upuuzi.
 
Chadema msimamo ni mmoja tu... Hakuna haja ya kushirikiana na vyama ambavyo vina vigeugeu...
Msimamo ni mmoja tu CHADEMA MBELE.. Tutasonga tu...
 
Nakumbuka kuna makubaliano ya ushirikiano kati ya CDM na NCCR walisaini Dk.Slaa na Sam Ruhuza moja ya malengo yake ilikuwa ni kufuta kesi ya uchaguzi wa Kawe.

Hata hivyo siasa za Mbatia zinaleta maswali!
 
chadema hawataki kushirikiana na vyama vya vingine bungeni kwa nini ushirikiano uwepo kwenye halmashauri tu nampongeza mbatia kila mtu afe kivyake na abebe mzigo wake.

CHADEMA bungeni ina zaidi ya theluthi mbili inayohitajika kikatiba na sheria za nchi yetu. tatizo la Uviza hatujafikisha si maCCM wala hao hawala zenu NCCR...
 
kitendo cha mkiti wa nccr james mbatia kukataa makubaliano yaliyokuwa yamefikiwa kati ya nccr na chadema kuongoza halmashauri ya uvinza yamesababisha ccm kutumia mwanya huo na kutwaa nafasi ya makamu mkiti wa halmashauri hiyo.

Kwa upande wa nafasi ya mkiti uchaguzi umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena baada ya vyama vyote vitatu kushindwa kupata theluthi mbili ya kura.

Katika nafasi ya mkiti vyama vyote vitatu viliweka wagombea ambapo ccm ilipata kura 8 chadema kura 7 na nccr kura 6.

Nafasi ya makamu mkiti mgombea wa ccm hakuwa na mpinzani na alipita bila kupingwa.

Katika makubaliano ya awali ngazi ya wilaya na mkoa vyama vya nccr na chadema vilikubaliana kuachiana nafasi ambapo ilukubaliwa chadema igombee nafasi ya mkiti na nccr makamu mkiti.

Katika hali ya kushangaza siku ya kurudisha fomu vyama vyote viwili vilirudisha fomu nafasi ya mkiti na nccr ikakataa kugombea nafasi ya makamu mkiti hivyo mgombea wa ccm akapita bila kupingwa.

Inadaiwa mkiti wa nccr james mbatia ndiye aliingilia kati kuvunja makubaliano ya vyama hivyo na hatimaye ushindi ukawa upande wa ccm

cuf = ccm b
nccr = ccm c
tlp = ccm d
 
aisee hawa jamaa wa chadema huwa nacheka sana na kuwashangaa sana hivi karibuni Tundu Lisu alisema chama pinzani Tanzania ni cdm pekee vingine ni ccmb sasa imakuwaje wanapotaka vyeo wanaenda kwa hao hao ili wawaunge mkono? halafu kwa nini wasingegombea umakamo na nccr wagombee umwenyekiti kwa hiyo wanataka wao wawe na power kuliko wengine mimi nawashauli waache kulialia na wajue mtenda akitendewa huhisi kuonewa

Ila kilichofanyika Uvinza kwa CDM na NCCR kama ni kweli si kitu kibaya kwa upande wangu, najaribu kuangalia muundo wa serikali katika nchi yetu umegawanyika katika sehemu mbili, moja serikali kuu na pili serikali za mitaa, in this case, hawa watu kwenye ngazi za serikali za mitaa kama Uvinza mazingira ya siasa zao ni tofauti na siasa za bungeni hivyo wakati mwingine misimamo ya kivyama wakati mwingine iangalie na mazingira hasa ukizingati hawa jamaa katika ngazi ya halmashauri wana vitu vingi ambavyo wana share common interest na wengi wao ama wote ni wakazi wa maeneo hayohayo tofauti na wabunge ambao wao anaweza kugombea sehemu while yeye ni mkazi wa Dar au Dodoma wakati ni ngumu kwa diwani kuwa wa kata flani labda Mwanza akawa anaishi Sumbawanga. Kwahiyo kuna haja ya kuweka misimamo ya kichama kulingana na muundo wa serikali kwani bungeni inaweza ikawa hivyo lakini pia kwenye ngazi za halmashauri nako kuna haja ya kuwaachia walioko kule kufanya maamuzi yao kulingana na mazingira the same hata kwenye serikali za vijiji au mitaa
 
Out of topic, kaanzishie mada tutachangia, hapa tunajadili uroho wa machadema ambao sasa umeanza kuwatokea puani
Acha kiherere wewe utaolewa unatafuta mwanaume hapa JF?? hapa sio mahali pake!!wewe ndio Kisandu??hiyo 7000 iskufanye punguani!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom