Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,022
Chadema inatengenezaje makubaliano na Sisimizi?, Chadema kila siku inajikweza kuwa ndio chama pekee cha Upinzan TANZANIA, Sasa leo inawekaje Makubaliano na "mapindikizi" ya CCM, au kwenye uwewzekano wa kunyakuwa madaraka huwa wanasahau Milopoko yao,Bora hiyo Halmashauri iongozwe na M23 au Intarahamwe wanaoua maadui zao kuliko hawa wanaolipua wanachama wao ili kupata Sympath ya kisiasa!