Sasa unalalamika nini?
vp wajiskiaje kuongozwa na mtu alieshinda kwa hila? anyway mke (NCC..) atafanya lolote mumewe(nyinyiem) asiaibike. huo ndo mtizamo wangu. lets create fair field 4 all to compete...
Sasa unalalamika nini?
Sasa unalalamika nini?
Naona una hang over ya ujiSaafi sana NCCR mmeonyesha ukomavu wa kisiasa
Pole mjane weweNaona una hang over ya uji
ngoja ataona mwakani kwenye uchaguzi.ndio wataona NCCR hakuna kitu.tutaendesha almashauri nyingi sana Tanzania
Mbatia analipa fadhila kwa Mwenyekiti wa CCM-Taifa kwani suala la kuteuliwa kuwa Mbunge si dogo kwake.Hapo ndipo ninapokubaliana na Kafulila kwamba Mwanaume aliyeshindwa na Mwanamke katika nafasi ya Ubunge hawezi kukiongoza chama ipasavyo!
Hivi wana jf na Chadema mlitegemea nini hapo,Mbatia kuipa CDM uongozi? hili suala lilikuwa wazi iwe hivyo chini ya M/kiti Mbatia,NCCR ingekuwa inaongozwa na mtu tofauti anayejua na kuheshimu upinzani hapo ingepasa tulalamike lkn kwa Mbatia,tuseme tu ila tusiumize vichwa CDM wajipange uchaguzi ujao wafanye kweli wakae chonjo na huyo mlipa fadhila.
vp wajiskiaje kuongozwa na mtu alieshinda kwa hila? anyway mke (NCC..) atafanya lolote mumewe(nyinyiem) asiaibike. huo ndo mtizamo wangu. lets create fair field 4 all to compete...
Wabunge wanawake hawana cha kulipa kwa kuwa hiyo ni affirmative action ya kuwafanya wanawake watambulike. Labda tujiulize mbunge mwanamume wa kuteuliwa kama James Mbatia analipaje.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums