Mbatia 'aipa' CCM ushindi kuongoza Halmashauri ya Uvinza

Mbatia 'aipa' CCM ushindi kuongoza Halmashauri ya Uvinza

hapo ndio utajua kuwa CHADEMA walikuwa sawa kuwa na wasiwasi na upinzani wa hawa vigeugeu wangeifanya kambi ya upinzani bungeni ionekane kituko...
 
Lakini hii nayo ni substandard ya CDM, inabidi viongozi wa ngazi ya juu watueleze. Tushakubaliana kuwa vyama vyote vingine ni CCM-B ndio maana hata Bungeni hatujaungana na vyama hivi. Sasa hili la makubaliano ya kuongoza Halmashauri ya Uvinza inatokea wapi? Nampongeza Mh. Mbatia kwa kutukumbusha anawakilisha wing ipi.

Kitakachotokea ni kuwa makamu mweyekiti ataendelea kuula na kuwa ndiye mwenyekiti.

Umegusa penyewe mkuu.

Jamani hawa akili zao ni vigeugeu
 
Kwanini CDM hawaku compromise na kuwaachia NCCR?angalau NCCR tunawaona wabunge wake wanaguswa na matatizo ya wananchi na wangewasaidia kuliko kuwaachia CCM waendeleze propaganda zao kuwa sie wananchi tunawakubali!Kwa utaratibu huu ni kweli mnatukatisha tamaa sana wananchi kwani watawala wanazidi kuwa na kiburi kwa kuwa na uhakika wa kututawala milele wao na vizazi vyao!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Mkuu, CHADEMA ni waroho sana. Wao wanajua kuwa kigoma ni ngome ya NCCR, badala ya wao chadema kuwaachia nccr nafasi hiyo ya umeya, wao ndo wanaitaka. vinginevyo wangekubaliana mapema. NCCR wagombee Umeya na CHADEMA wawaunge mkono na CHADEMA wangegombea Unaibu Meya na NCCR wawaunge mkono. nadhani hapo wakepata wote. vinginevyo kwa uroho huu watakosa wote
 
Usifanye mchezo na VITI MAALUMU ! Kuna ndoa zimesambaratika kwa ajili ya hivyo viti aisee .
 
CHADEMA bana, hivi leo hii mnahitaji huruma za mbatia? nyie si ndio mlisema kuwa mna uwezo wa kusimama peke yenu na kwamba hamhitaji mbeleko ya vyama vingine. poleni sana

Chadema wamejipambanua kama chama cha upinzani, hiyo ilikuwa nafasi ya NCCR pia nao kujipambanua kuwa ni wapinzani lkn kwa hili tunapata kujua chama cha upinzani Tanzania ni kipi.

Kwa kifupi; NCCR wanepoteza fursa mujarab kwenye siasa Tanzania, kama CDM walikuwa wapo tayari kushirikiana na NCCR, NCCR nao walikuwa wapige hatua mbele kupokea mkono wa shirika kutoka CDM. Sasa ktk hali hii unaona wapi kuwa CDM walifanya makosa kwa kutowashirikisha NCCR kwenye kamba rasmi y upinzani Bungeni? Tafakari!
 
Mbatia analipa fadhila kwa Mwenyekiti wa CCM-Taifa kwani suala la kuteuliwa kuwa Mbunge si dogo kwake.Hapo ndipo ninapokubaliana na Kafulila kwamba Mwanaume aliyeshindwa na Mwanamke katika nafasi ya Ubunge hawezi kukiongoza chama ipasavyo!

kumlaumu mbatia ni kukosa busara tu,uhuni wanaofanya chadema dhidi ya vyama vingine vya upinzani hakuna chama ambacho kitakubari kushirikiana na chadema kuanzia bungeni mpaka majukwaani.
 
Kitendo cha Mkiti wa NCCR James Mbatia kukataa makubaliano yaliyokuwa yamefikiwa kati ya NCCR na CHADEMA kuongoza halmashauri ya Uvinza yamesababisha CCM kutumia mwanya huo na kutwaa nafasi ya Makamu Mkiti wa Halmashauri hiyo.

Kwa upande wa nafasi ya Mkiti uchaguzi umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena baada ya vyama vyote vitatu kushindwa kupata theluthi mbili ya kura.

Katika nafasi ya Mkiti vyama vyote vitatu viliweka wagombea ambapo CCM ilipata kura 8 CHADEMA kura 7 na NCCR kura 6.

Nafasi ya Makamu Mkiti mgombea wa CCM hakuwa na mpinzani na alipita bila kupingwa.

Katika makubaliano ya awali ngazi ya wilaya na mkoa vyama vya NCCR na Chadema vilikubaliana kuachiana nafasi ambapo ilukubaliwa CHADEMA igombee nafasi ya Mkiti na NCCR Makamu Mkiti.

Katika hali ya kushangaza siku ya kurudisha fomu vyama vyote viwili vilirudisha fomu nafasi ya Mkiti na NCCR ikakataa kugombea nafasi ya Makamu Mkiti hivyo mgombea wa CCM akapita bila kupingwa.

Inadaiwa Mkiti wa NCCR James Mbatia ndiye aliingilia kati kuvunja makubaliano ya vyama hivyo na hatimaye ushindi ukawa upande wa CCM
Molemo, chadema ni waroho wa madaraka, wabinafsi, na mnataka kuwaona wenzenu ni wajinga kumbe nyie machadema ndio majinga ya mwisho kabisa, kambi ya rasmi ya chadema bungeni ndio funzo kuu kwenu manyang'au nyie
 
Kitendo cha Mkiti wa NCCR James Mbatia kukataa makubaliano yaliyokuwa yamefikiwa kati ya NCCR na CHADEMA kuongoza halmashauri ya Uvinza yamesababisha CCM kutumia mwanya huo na kutwaa nafasi ya Makamu Mkiti wa Halmashauri hiyo.

Kwa upande wa nafasi ya Mkiti uchaguzi umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena baada ya vyama vyote vitatu kushindwa kupata theluthi mbili ya kura.

Katika nafasi ya Mkiti vyama vyote vitatu viliweka wagombea ambapo CCM ilipata kura 8 CHADEMA kura 7 na NCCR kura 6.

Nafasi ya Makamu Mkiti mgombea wa CCM hakuwa na mpinzani na alipita bila kupingwa.

Katika makubaliano ya awali ngazi ya wilaya na mkoa vyama vya NCCR na Chadema vilikubaliana kuachiana nafasi ambapo ilukubaliwa CHADEMA igombee nafasi ya Mkiti na NCCR Makamu Mkiti.

Katika hali ya kushangaza siku ya kurudisha fomu vyama vyote viwili vilirudisha fomu nafasi ya Mkiti na NCCR ikakataa kugombea nafasi ya Makamu Mkiti hivyo mgombea wa CCM akapita bila kupingwa.

Inadaiwa Mkiti wa NCCR James Mbatia ndiye aliingilia kati kuvunja makubaliano ya vyama hivyo na hatimaye ushindi ukawa upande wa CCM

Huu ni upuuzi mkubwa sana wa vyama hivi viwili vya upinzani, Kila chama kina kosa lake hapa, mosi chadema wao wana kura nyingi zaidi (7) wakati NCCR walikuwa na kura chache ( 6) kwa kuzingati hilo basi chadema wangeongoza halmashauri na NCCR wakubali umakamu,hili ni kosa la NCCR lakini chadema nao baada ya kuona NCCR wameng'ang'ania basi wangetumia busara tuu kuukubali umakamu na kuwaachia NCCR uenyekiti kuliko kupoteza vyote kwa CCM,sasa sijui nini kifanyike maana tayari umakamu umeshaenda kwa ccm,,Viongozi wa juu hebu kutaneni muamue cha kufanya!
 
Ukishamjua adui yako ni nani inakusaidia jinsi ya kuishi nae. Siwalaumu sana kwa sasa CDM ila ntawalaumu hapo baadae kama watarudia tena huu upuuzi.
Mbatia ameolewa na CCM hawezi kwenda sawa na CDM. Hili suala mbona liko uchi sana. Au mi ndo nayeliona peke yangu?
Hata mtoto mdogo analijua hili.
 
Chadema wamejipambanua kama chama cha upinzani, hiyo ilikuwa nafasi ya NCCR pia nao kujipambanua kuwa ni wapinzani lkn kwa hili tunapata kujua chama cha upinzani Tanzania ni kipi.

Kwa kifupi; NCCR wanepoteza fursa mujarab kwenye siasa Tanzania, kama CDM walikuwa wapo tayari kushirikiana na NCCR, NCCR nao walikuwa wapige hatua mbele kupokea mkono wa shirika kutoka CDM. Sasa ktk hali hii unaona wapi kuwa CDM walifanya makosa kwa kutowashirikisha NCCR kwenye kamba rasmi y upinzani Bungeni? Tafakari!

unachofanya ni sawa na kupima kina cha maji kwa miguu yote miwili kwa nini chadema walikataa kushirikisha vyama vingine vya siasa kuunda kambi ya upinzani bungeni kwa madai kwamba vyama vingine vya upinzani ni vyama uchwara sasa leo mnalalamika nini.
 
hapo ndio utajua kuwa CHADEMA walikuwa sawa kuwa na wasiwasi na upinzani wa hawa vigeugeu wangeifanya kambi ya upinzani bungeni ionekane kituko...
Iwe kituko mara ngapi??? Kaeni na uroho wenu huko wauwaji nyie
 
Chadema wamejipambanua kama chama cha upinzani, hiyo ilikuwa nafasi ya NCCR pia nao kujipambanua kuwa ni wapinzani lkn kwa hili tunapata kujua chama cha upinzani Tanzania ni kipi.

Kwa kifupi; NCCR wanepoteza fursa mujarab kwenye siasa Tanzania, kama CDM walikuwa wapo tayari kushirikiana na NCCR, NCCR nao walikuwa wapige hatua mbele kupokea mkono wa shirika kutoka CDM. Sasa ktk hali hii unaona wapi kuwa CDM walifanya makosa kwa kutowashirikisha NCCR kwenye kamba rasmi y upinzani Bungeni? Tafakari!

huwajui chadema wewe. wao hawana haja ya kuungana na chama chochote cha siasa hapa Tanzania. wako tayari kuungana na ODM ya kenya na wala si NCCR. wao shida yao ni kura za kuwawezesha kutwaa umeya wa Uvinza tu. baada ya hapo ndoa ingesambaratika. mbatia ameona mbali na amewakumbusha kuwa mchoyo daima hapati
 
Mbatia analipa fadhila kwa Mwenyekiti wa CCM-Taifa kwani suala la kuteuliwa kuwa Mbunge si dogo kwake.Hapo ndipo ninapokubaliana na Kafulila kwamba Mwanaume aliyeshindwa na Mwanamke katika nafasi ya Ubunge hawezi kukiongoza chama ipasavyo!
mlitegemea ailipe fadhila chadema kwa kumtukana??? nyie kweli HAMNAZO. ubabe nyie, kudeka nyie, kulalamika nyie, ku.......... nako nyie!!!
nyamb............aaaaaaffffff
 
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]
Mbatia analipa fadhila kwa Mwenyekiti wa CCM-Taifa kwani suala la kuteuliwa kuwa Mbunge si dogo kwake.Hapo ndipo ninapokubaliana na Kafulila kwamba Mwanaume aliyeshindwa na Mwanamke katika nafasi ya Ubunge hawezi kukiongoza chama ipasavyo!


Hahaha hapa kafulila alimaliza kila kitu.
 
Mbatia analipa fadhila kwa Mwenyekiti wa CCM-Taifa kwani suala la kuteuliwa kuwa Mbunge si dogo kwake.Hapo ndipo ninapokubaliana na Kafulila kwamba Mwanaume aliyeshindwa na Mwanamke katika nafasi ya Ubunge hawezi kukiongoza chama ipasavyo!

teh teh teh,kwi kwi kwi
sijawahi kuichoka jf. this is my home place Makala Jr umenipa rahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Molemo, chadema ni waroho wa madaraka, wabinafsi, na mnataka kuwaona wenzenu ni wajinga kumbe nyie machadema ndio majinga ya mwisho kabisa, kambi ya rasmi ya chadema bungeni ndio funzo kuu kwenu manyang'au nyie
Mods vipi Lugha hizi za kutukana na kukashifu siku hizi ni rasmi hapa jukwaani au niaje??
 
Molemo,
Hii taarifa yako sidhani kama ina usahihi wowote. Kuchagua meya hakuhitaji theluthi mbili ya kura. Kunahitaji just a simple majority.
Kumwondoa meya aliyepo ndio kunahitaji theluthi mbili.
Kitendo cha Mkiti wa NCCR James Mbatia kukataa makubaliano yaliyokuwa yamefikiwa kati ya NCCR na CHADEMA kuongoza halmashauri ya Uvinza yamesababisha CCM kutumia mwanya huo na kutwaa nafasi ya Makamu Mkiti wa Halmashauri hiyo.

Kwa upande wa nafasi ya Mkiti uchaguzi umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena baada ya vyama vyote vitatu kushindwa kupata theluthi mbili ya kura.

Katika nafasi ya Mkiti vyama vyote vitatu viliweka wagombea ambapo CCM ilipata kura 8 CHADEMA kura 7 na NCCR kura 6.

Nafasi ya Makamu Mkiti mgombea wa CCM hakuwa na mpinzani na alipita bila kupingwa.

Katika makubaliano ya awali ngazi ya wilaya na mkoa vyama vya NCCR na Chadema vilikubaliana kuachiana nafasi ambapo ilukubaliwa CHADEMA igombee nafasi ya Mkiti na NCCR Makamu Mkiti.

Katika hali ya kushangaza siku ya kurudisha fomu vyama vyote viwili vilirudisha fomu nafasi ya Mkiti na NCCR ikakataa kugombea nafasi ya Makamu Mkiti hivyo mgombea wa CCM akapita bila kupingwa.

Inadaiwa Mkiti wa NCCR James Mbatia ndiye aliingilia kati kuvunja makubaliano ya vyama hivyo na hatimaye ushindi ukawa upande wa CCM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom