Mbatia 'aipa' CCM ushindi kuongoza Halmashauri ya Uvinza

Mbatia 'aipa' CCM ushindi kuongoza Halmashauri ya Uvinza

Mbatia ni kibaraka wa ccm nani asiye jua hilo?! Ni sawa na alivyokuwa Mrema!!
 
chadema hawataki kushirikiana na vyama vya vingine bungeni kwa nini ushirikiano uwepo kwenye halmashauri tu nampongeza mbatia kila mtu afe kivyake na abebe mzigo wake.
Wahenga wazamani waliwahi kusema;
Mkuki kwa nguruwe.............
Kunya anye kuku, akinya bata...............
Nyani haoni.................
Mtenda akitendwa...............
Nk
 
Sasa wajemeni MBATIA angeshibia wapi? Njaa mwanaharamu hasa kama kichwani hamnazo,lazima alifuatwa na kuulizwa "unapenda kuendelea kuonekana kwenye luninga,kutoka makao makuu ya lichama?"
 
Chadema wamejipambanua kama chama cha upinzani, hiyo ilikuwa nafasi ya NCCR pia nao kujipambanua kuwa ni wapinzani lkn kwa hili tunapata kujua chama cha upinzani Tanzania ni kipi.

Kwa kifupi; NCCR wanepoteza fursa mujarab kwenye siasa Tanzania, kama CDM walikuwa wapo tayari kushirikiana na NCCR, NCCR nao walikuwa wapige hatua mbele kupokea mkono wa shirika kutoka CDM. Sasa ktk hali hii unaona wapi kuwa CDM walifanya makosa kwa kutowashirikisha NCCR kwenye kamba rasmi y upinzani Bungeni? Tafakari!
Mbona km hutumii kichwa sawa sawa?? Kwa hiyo machadema ndio kipimo cha upinzani?? Acha ujinga ww. Nccr ni nccr na machadema ni machadema, mara ngapi mnawatukana wapinzani wenzenu?? Jana ulimsikiliza mgonjwa wenu tundu lisu star tv kuwa hakuna chama cha upinzani ila machadema pekee?? Kwa hiyo mnawathamini wenzenu mnapotaka kuwatumia kimaslahi km ww unavyotumika hapa jf kimaslahi?????????????????????????????????? Look u
 
Mbatia ni kibaraka wa ccm nani asiye jua hilo?! Ni sawa na alivyokuwa Mrema!!

Kwa lugha hizi kwann mnalalamika??? Kaeni na uroho wenu huko. Mrema ni mrema. Mbatia ni mbatia na mwengine ivo ivo
 
Kitendo cha Mkiti wa NCCR James Mbatia kukataa makubaliano yaliyokuwa yamefikiwa kati ya NCCR na CHADEMA kuongoza halmashauri ya Uvinza yamesababisha CCM kutumia mwanya huo na kutwaa nafasi ya Makamu Mkiti wa Halmashauri hiyo.

Kwa upande wa nafasi ya Mkiti uchaguzi umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena baada ya vyama vyote vitatu kushindwa kupata theluthi mbili ya kura.

Katika nafasi ya Mkiti vyama vyote vitatu viliweka wagombea ambapo CCM ilipata kura 8 CHADEMA kura 7 na NCCR kura 6.

Nafasi ya Makamu Mkiti mgombea wa CCM hakuwa na mpinzani na alipita bila kupingwa.

Katika makubaliano ya awali ngazi ya wilaya na mkoa vyama vya NCCR na Chadema vilikubaliana kuachiana nafasi ambapo ilukubaliwa CHADEMA igombee nafasi ya Mkiti na NCCR Makamu Mkiti.

Katika hali ya kushangaza siku ya kurudisha fomu vyama vyote viwili vilirudisha fomu nafasi ya Mkiti na NCCR ikakataa kugombea nafasi ya Makamu Mkiti hivyo mgombea wa CCM akapita bila kupingwa.

Inadaiwa Mkiti wa NCCR James Mbatia ndiye aliingilia kati kuvunja makubaliano ya vyama hivyo na hatimaye ushindi ukawa upande wa CCM
wewe ni muongo tena mnafiki mkubwa, hakuna makubaliano yoyote yaliyofanyika na wewe si msemaji wa chama, pamoja na yote NCCR-mageuzi ni chama makini muulizeni kioongozi wenu wa kitaifa aliyetaka kuwahonga madiwani wa NCCR-mageuzi baada ya kuchomolewa akajiwahi kuongea mitaandaoni.Hatufanyi siasa za kinafiki mbona ya Arusha hatusemi madiwani wenu. kweli nyani haoni kundule.CHADEMA acheni kueneza uzushi.
 
Mbatia anaiua NCCR Kigoma ambapo ndio paliifanya NCCR iendelee kuwepo sasa kwa mikono yake mwenyewe, Mwenyekiti ameamua kukimaliza chama chake kwa mikono yake mwenyewe.

Kwa hali hiyo tusishangae NCCR ikazikwa rasmi Kigoma mwaka 2015.

Ni haki kabisa kwa NCCR Mageuzi kushirikiana na chama chochote kuongoza Halmashauri ta Uvinza,lakini nadhani kabla ya uongozi wa juu hawajaamua,wange pima kwanza wapiga kura na madiwani wao ktk halmashauri husika wana wanapenda kuungana na chama kipi!
Nilivyo sikia msimamo ktk ngazi
 
Huu ni upuuzi mkubwa sana wa vyama hivi viwili vya upinzani, Kila chama kina kosa lake hapa, mosi chadema wao wana kura nyingi zaidi (7) wakati NCCR walikuwa na kura chache ( 6) kwa kuzingati hilo basi chadema wangeongoza halmashauri na NCCR wakubali umakamu,hili ni kosa la NCCR lakini chadema nao baada ya kuona NCCR wameng'ang'ania basi wangetumia busara tuu kuukubali umakamu na kuwaachia NCCR uenyekiti kuliko kupoteza vyote kwa CCM,sasa sijui nini kifanyike maana tayari umakamu umeshaenda kwa ccm,,Viongozi wa juu hebu kutaneni muamue cha kufanya!

hakuna sababu ya kukutana hapo. mbatia ameshaweka msimamo wake. akili za mbatia huwezi kulinganisha na kiongozi yeyote wa juu wa chadema labda Zitto ndo anakaribia
 
Molemo, chadema ni waroho wa madaraka, wabinafsi, na mnataka kuwaona wenzenu ni wajinga kumbe nyie machadema ndio majinga ya mwisho kabisa, kambi ya rasmi ya chadema bungeni ndio funzo kuu kwenu manyang'au nyie

Matusi ya nini mama yangu?

Tangu ufukuzwe Chadema umefungua ID 20 za kutukana.

Vipi matusi yako yaliwasaidia uchaguzi Arusha?
 
Chadema mnalalamika na mnalia lia nini sasa, kila siku mnasema nyie ndiyo chama cha upinzani peke yake.

Huko bungeni mmejitenga mnajiita kambi rasmi ya upinzani, mmewatosa NCCR Mageuzi na vyama vingine.

Kwenye halmashauri mnataka kushirikiana ili mpate vyeo, safi sana Mbatia.
 
Matusi ya nini mama yangu?

Tangu ufukuzwe Chadema umefungua ID 20 za kutukana.

Vipi matusi yako yaliwasaidia uchaguzi Arusha?
Ujinga wenu ndio kifo chenu. Tulia dawa ipite vizuri. Acheni uroho.
 
Mbunge aliyekosa ubunge kwa kushindwa na mwanamke mpaka akapewa vitu maalum atakuwaje na fikra za maana!!!
 
wewe ni muongo tena mnafiki mkubwa, hakuna makubaliano yoyote yaliyofanyika na wewe si msemaji wa chama, pamoja na yote NCCR-mageuzi ni chama makini muulizeni kioongozi wenu wa kitaifa aliyetaka kuwahonga madiwani wa NCCR-mageuzi baada ya kuchomolewa akajiwahi kuongea mitaandaoni.Hatufanyi siasa za kinafiki mbona ya Arusha hatusemi madiwani wenu. kweli nyani haoni kundule.CHADEMA acheni kueneza uzushi.
Naona ulikuwa kimya au bado azma yako ya kugombe Uraisi ipo pale pale? utapitia kwa ticketi ya chama chenu cha Kiliberali?
 
Mbatia anaiua NCCR Kigoma ambapo ndio paliifanya NCCR iendelee kuwepo sasa kwa mikono yake mwenyewe, Mwenyekiti ameamua kukimaliza chama chake kwa mikono yake mwenyewe.

Kwa hali hiyo tusishangae NCCR ikazikwa rasmi Kigoma mwaka 2015.

Ni haki kabisa kwa NCCR Mageuzi kushirikiana na chama chochote kuongoza Halmashauri ta Uvinza,lakini nadhani kabla ya uongozi wa juu hawajaamua,wange pima kwanza wapiga kura na madiwani wao ktk halmashauri husika wanataka nini!

Kama msimamo wa madiwani kule Uvinza ulikua kushirikiana na CDM,lakini uongozi taifa wameamua CCM,basi NCCR Mageuzi watambue uchaguzi ujao wahesabu maumivu!
 
wewe ni muongo tena mnafiki mkubwa, hakuna makubaliano yoyote yaliyofanyika na wewe si msemaji wa chama, pamoja na yote NCCR-mageuzi ni chama makini muulizeni kioongozi wenu wa kitaifa aliyetaka kuwahonga madiwani wa NCCR-mageuzi baada ya kuchomolewa akajiwahi kuongea mitaandaoni.Hatufanyi siasa za kinafiki mbona ya Arusha hatusemi madiwani wenu. kweli nyani haoni kundule.CHADEMA acheni kueneza uzushi.
Mpe za uso mjinga huyu anatumika huku anajua, hawana adabu wanajiona wao ndio wajuaji wengine wote hawana maana. Molemo ni mnafiki sana halafu hupenda kukimbilia jf kujitetea ujinga wake kwa id tofauti tofauti
 
huyu Mbatia ndo maana anasemwa kuwa ni punga
 
haya ni matokeo mazuri sana na kila mwana cdm wa kweli inabidi ayatafakari kwa umakini.
katika maisha ya kawaida kama kuna tatizo lilolo mbele yako nawe hujalijua ni hatari sana kuliko pale unapolijua. Hawa ndio watu ambao walitaka washirikishwe kwenye kambi rasmi ya upinzania Bungeni, fikiria ni kitu gani kingetokea!?
Challenge ya cdm sasa ni kuwekeza kwenye mashina na mtu mmoja mmoja kazi ambayo tayari inaendelea vizuri na mwishoni mtaona kama matatizo haya hatujayaepuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom