Mbaroni kwa kuua wazee wawili Morogoro

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,007
9,873
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro linawashikilia Rajabu Ramadhani (26), Athumani Ramadhani (21) na Daniel William (49) kwa tuhuma za mauaji ya Bernadetha Kibwana (60( na Zabibu Maulidi(59)

Tukio la mauaji limetokea majira ya saa kumi na moja alfajiri Oktoba 15, Mafisa kwa Mambi kata ya Mafisa Manispaa ya Morogoro.

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema Rajabu ambaye ni mshtakiwa wa kwanza aliamka usiku na kumfuata ndugu yake Athumani ili amsindikize kwa watu ambao wamemtibua.

Rajabu alivunja mlango wa Benardetha na kumpiga na shoka kichwani, Zabibu aliposikia alipiga kelele na kuanza kumbia ambaye alimkimbiza na kumpiga na mchi kichwani.
 
Back
Top Bottom