ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,116
- 49,840
Mmja kaua Mke na shemeji Kwa panga na mwingine kaua Mke Kwa kutumia kamba ya katani.
My Take
Binti zangu Msikubali kuolewa na Wanaume Maskini na Wale wanaojifanya Wana wivu na kuwapenda sana.
----
JESHİ la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kumkamata Swalehe Miraji Ally, mwenye umri wa miaka 38 aliyekuwa kakimbilia mkoani Tabora baada ya kufanya mauaji ya mkewe na shemeji yake kwa kuwakata na mapanga mara mbili kichwani wakati wakiwa shambani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema kuwa mtuhumiwa huyo ambaye ni fundi ujenzi mkazi wa Mkanyageni wilayani Muheza, alimuua mkewe Mwanahawa Hassan (24) na Sauda Sufian (20) kisha kukimbilia Tabora, ambapo jitihada za Polisi zilifanikiwa kumkamata.
Katika tukio linguine polisi imemkamata mkazi wa Handeni, Rajab Athuman mwenye umri wa miaka 32 akituhumiwa kumuua kwa kumkata kichwa kwa kutumia kamba ya katani Helena Sila.
Chanzo: Habari Leo
My Take
Binti zangu Msikubali kuolewa na Wanaume Maskini na Wale wanaojifanya Wana wivu na kuwapenda sana.
----
JESHİ la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kumkamata Swalehe Miraji Ally, mwenye umri wa miaka 38 aliyekuwa kakimbilia mkoani Tabora baada ya kufanya mauaji ya mkewe na shemeji yake kwa kuwakata na mapanga mara mbili kichwani wakati wakiwa shambani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema kuwa mtuhumiwa huyo ambaye ni fundi ujenzi mkazi wa Mkanyageni wilayani Muheza, alimuua mkewe Mwanahawa Hassan (24) na Sauda Sufian (20) kisha kukimbilia Tabora, ambapo jitihada za Polisi zilifanikiwa kumkamata.
Katika tukio linguine polisi imemkamata mkazi wa Handeni, Rajab Athuman mwenye umri wa miaka 32 akituhumiwa kumuua kwa kumkata kichwa kwa kutumia kamba ya katani Helena Sila.
Chanzo: Habari Leo