Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

Mcute kweli...daaa
Hebu angalia jamani
Hata wangekuwa wao ni sisi wangefanyaje hapa?
JamiiForums-590568646.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Hahahah Huwa nawaambia, just kua simple tu !!

Et "Mimi sitoki na Mume wa mtu"🤣🤣.
Hawajui kuwa hakunaga singo duniani.
Mwanamke akikwambia yuko singo uongo tu analiwa na mtu asiyempenda kadhalika mwanaume singo yupo kaburini ukweli mchungu
 
Juzi kweny FWC ndio nilishindwa jizuia kuwa nakumkubali huyu masta.
Aiseee
Wakati anafunga goli la kwanza kipindi cha pili aise nilipata furaha na mtetemeko wa ajabu.

Itoshe kusema Mbappe ndie aliyenifanya niangalie mpira😂😂

😘😘😘
Mkiiangalia hiyo pua mnavuta hisia au?😂🤣
 
Huyu hapa nimekata ujumbe nimeupunguza kidogo.View attachment 2452497
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka walaiii hahaha .


Sasa kwakua akili zao Huwa wanaziamin ziko sahihi muda wote.

Wewe fanya Ivi... Msifiee piaa ... Aaahhh jamaa ni Mpambanaji yaaan amewabeba sana Ufaransaa daaah


Alafu mpange aje magetooo, mmezeee Sildenafil ( Viagra) 50mg lisaa limoja kabla ya kupiga mashin.


Kisha mmpelekee motoooo mpaka abadili alivyokusev,akusev My Mbappe !!!
 
We phalla umeniwahi.
Kwa kifupi ukiwa na mpenzi mwenye utani mwingi, yuko huru kwako unataka nini zaidi?

Hata mwanaume ukiwa na viutani vingi vyenya mipaka ni rahisi kuwateka hawa wadudu 🤣🤣🤣

Mimi sipendi msichana aliyepooza kama mlenda.
Napenda changamoto, utani nk.

Hapa jf kuna wadada wajanja wa janja sana na ukiangalia wana followers wengi sana.
Sababu kubwa ni mvuto kupitia utani
Nakuletea dem mfupi akili ikukae sawa
 
Back
Top Bottom