Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,748
- 91,814
Ila Wanawake mnajuaga kutufanya tujione sisi wanaume hatuna maana ya kuishi ingawa tuna Hela 🤣🤣.Acha kabisa 😅😅😅
Ila Wanawake mnajuaga kutufanya tujione sisi wanaume hatuna maana ya kuishi ingawa tuna Hela 🤣🤣.Acha kabisa 😅😅😅
Wanawake mlivyo mamaeee, hapo unaanza linganisha hizo goli anazofunga, ndo zingekua bao anazotupia kitandan upo nayeJuzi kweny FWC ndio nilishindwa jizuia kuwa nakumkubali huyu masta.
Aiseee
Wakati anafunga goli la kwanza kipindi cha pili aise nilipata furaha na mtetemeko wa ajabu.
Itoshe kusema Mbappe ndie aliyenifanya niangalie mpira😂😂
😘😘😘
Usiumize kichwa chako mkuu, kwenye suala la mapenzi hakuna anayeridhika na kitu utakosa pesa utachapiwa na ukiwa nazo utachapiwa vile vile. Ukiwa sexy as Mbappe na pesa unayo unaweza chapiwa kwa kutokuwa romantic...Ila Wanawake mnajuaga kutufanya tujione sisi wanaume hatuna maana ya kuishi ingawa tuna Hela 🤣🤣.
Enjoy.I like it![]()
Uzuri ni kwamba huwa unanipa talaka halafu unanioa tena😅😅😅Ch
CHukua talaka 5
Umeanza ndugu mtumishi🤣🤣Wanawake mlivyo mamaeee, hapo unaanza linganisha hizo goli anazofunga, ndo zingekua bao anazotupia kitandan upo naye
Hahahahaha weeeeeeeeeee🤣🤣
Mkuu ,sisi wanaume tumepewa Mamlaka ya kutawala hivi viumbe vyote hapa Dunian ,ardhini na majni ..Falla sana wewe 🤣🤣🤣
Hahahaha mtumishiii🤣🤣🤣Umeanza ndugu mtumishi🤣🤣
Dah! me ndo maana sitaki nao mazoea kabisa hawa sio viumbe wa kawaida.Nyieee nyieee Hawa huku ..
Nilishawambia Kila siku na Kila Mara ... Woman has absolutely no control over who to fall in love with !!.
Mwanamke anakua na Mwanaume yule tu atakayefanikiwa Kuziamsha Hisia zake !!
Ukiijua Siri hiii, unaweza kula za kimasihara mpaka shetani mwenyewe akakuambia "Doohh bwana Mdogo, nikuvishe crown yako tu maana hata Malaika waloasi namie, umewazidi kete ".
Muulize Demu , kwann ulikua na fulan kimahisiano? Simpoooo, atakujibu tuu, """Ilitokea"".
Hiii inamaana gan? Wanawake wanaongozwa na Hisia, and when they are sexually attracted Nawewe, Utawapanga BUS la Abood !!!.
Huwa hawaamui Logically kua na mtu, rather than emotionally.
Leo naenda kunyoa ndevu zote 🤣🤣
View attachment 2452445
Anavutia kweli ,wana michezo ,waigizaji wa Hollywood,Wacheza basket huwa wanavutia kutokana na miili yao ilivyo
😂😂😂ndo hivyoHahahaha mtumishiii🤣🤣🤣
🤦🏻Picha yenyewe hii hapaa..
Siunaona huyuu aliitunza kabisa🤣🤣🤣
Unawaumiza watu kihisia🤣🤣Kutawala mtatawala lakini kuna mambo hamtaweza kucontrol.