Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

Ona sasaa ulivyoooooooo 😅😅😅😅🙌
Hahahaha wee acha Moyo umwagiliwee, vile nakudondeshea matone ya Asali kwenye Ki-nena, Kwa kitovu, Kwa chuchu kishaaaaa ninyonye Asali hiyo Kwa ulimi wakeee then niutembeze all over your body


Hahaaaa naaaaa baadae usukumiziwe hogo la kisukuma.


Yann tuandikie mate??? 🤣
 
Hahahaha ndo Wanawake wetu hapa, kikubwa tuwapende, tuwajali, tuwapelekee motoooo 🤣🤣
Nilcheka Sana siwekagi status ila ikabd nieke niandike mwanamke wako ana akili au na yeyekapost mbappe


, Mwengne penalt ya kwanza ka record kapost ikabd nimuulize kwa hio ulikuwa woi kuchagua team mapema Hadi watu wafunge,, imefika kipindi Cha pili kabadili mwelekeo kahamia kwa mbappe😁
 
Kuna uyu manzi anaitwa Alisha Lehman anavaa jezi namba7 anatumia mguu wa kushoto timu ya Aston Villa ya wanawake ananikoshaga sana.
cd88663e98fed983f6502754e4cd1295.jpg
3260ddd6bb80a3f4b33970c8e26b60c8.jpg
 
Hahahaha wee acha Moyo umwagiliwee, vile nakudondeshea matone ya Asali kwenye Ki-nena, Kwa kitovu, Kwa chuchu kishaaaaa ninyonye Asali hiyo Kwa ulimi wakeee then niutembeze all over your body


Hahaaaa naaaaa baadae usukumiziwe hogo la kisukuma.


Yann tuandikie mate??? 🤣
Mtego unaenda kunasa mtu muda si mrefu
 
Nilcheka Sana siwekagi status ila ikabd nieke niandike mwanamke wako ana akili au na yeyekapost mbappe


, Mwengne penalt ya kwanza ka record kapost ikabd nimuulize kwa hio ulikuwa woi kuchagua team mapema Hadi watu wafunge,, imefika kipindi Cha pili kabadili mwelekeo kahamia kwa mbappe😁
Tuendelee kuwapenda na kuwaelekeza Kwa Upendo na huruma .

Kikubwa na Cha kuzingatia, Akikuletea, Piga sanaaa, peleka motoooo haswaaa.

Atakusevu ,My Mbappe
 
Ila nyie wanaume mnateswaga sana na maumivu ya mapenzi🤣🤣
Maumivu makali Mnoo ila tunazuga tu.
Tukiwa tunatoka akivaa vizuri akiuliza vipi nimependeza ehh! Jibu ni moja tu “kamuulize Mbappe”

Sijui naomba nisaidie kunifunga sidiria, jibu ni moja tu “muombe mbappe akusaidie”
 
Back
Top Bottom