Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,239
Hahaha niko na usumbufu mwingi utajirudi tu mwenyewe najua, sijui “babe nisaidie kushusha net kuna mbu. jibu ni moja tu, “muite Mbappe akusaidie kushusha net mimi siyo mchoyo kwa mbu wache wale damu leo”Yani hapo kama ni mimi walai lazima nikuzidishie hasira😂😂maana nitakucheka mpka nje ya uzio
Maskini poleni Sikuwahi kujua