Mbagala inahitajika underground train sio Mkulupuko za mwendokasi

Mbagala inahitajika underground train sio Mkulupuko za mwendokasi

dah mtoa UZI umetazama kwa MAPANA sanaaa underground miundombinu yake nafikiri kwa tazama hapa hasa DSM ni shidaaa kwanza mji wenyewe huu master plan yake haikuwepo hasa eneo la mbagala kwenda mkranga watu wamejijengea tu fasta fasta baadhi ya maeneo kuna k=miundo mbinu mengine kama ya maji ime cross ...WAZO ni zuri ila nafikiri huenda itakuwa ni gharama kubwaaaa mboooooooo ila Ungesema kwa treni tu ya juuu kama ile ya Ethiopia ah HAPO MZEE NI MUKIDEEEE
Nasema inawezekana kama sio leo kesho TUJIANDAE
 
Sawa basi tusichimbe mashimo kwenye hizi road zilizojengwa zikatulia kama kilwa road. Sitisha mwendokasi Mbagala pesa yake jenga njia mbadala ya kupitia Tandika Buzza mpaka mbagala. Italeta tija kuliko mkurupuko huu
Siungi mkono hoja yako. Mimi ni mtumiaji mkubwa wa mwendokasi. Naona faida kubwa ambayo itakuwapo endapo kutakuwa na mwendokasi mbagala mpaka maeneo ambayo yametajwa sasa. Ishu ni usimamizi tu.
 
Tuta hilo ni kwenye barabara ya kawaida au mwendokasi?
Kama ni barabara ya kawaida ni kawaida kuwa na matuta. Hata the busiest and the most important road in Tanzania, Morogoro rd ina matuta maeneo fulani. Licha ya kwenda sambamba na barabara ya morogoro mwendokasi haina matuta.
MSIMAMO WANGU NI KUPINGA MASHIMO a.k.a matuta kwenye hizi barabara zetu pendwa kama kilwa road. Wazo ni kuepusha ajali kwa madereva wazembe (sina tatizo na hili) Tatizo ni kutegemea teknolojia hii cheap yenye gharama zilizojificha mfano foleni, kuongeza muda wa safari na kuharibu magari. Tufikirie sasa teknolojia nzuri ya kutumia badala ya hii. SASA KAMA HUKO KWINGINE YAPO MSILETE KWENYE KILWA ROAD
 
Siungi mkono hoja yako. Mimi ni mtumiaji mkubwa wa mwendokasi. Naona faida kubwa ambayo itakuwapo endapo kutakuwa na mwendokasi mbagala mpaka maeneo ambayo yametajwa sasa. Ishu ni usimamizi tu.
Wewe huoni umuhimu wa kuwa na njia mbadala ya kuingia na kutoka Mbagala kupitia Tandika Buzza?? Unataka ung'ang'ane na Kilwa road tu tena yenye mashimo? Au unafikilia ukiwa unasafiri kwenye mwendokasi umesimama ndio utawahi kufika Mbagala. Usimamizi mzuri unajua utakuja lini!
 
Mwendokasi ni wezi tu yaani kutoka gerezani hadi fire Tsh 650/=
Sasa nisikilizie Mbagala watasema bei gani! Hapo wamesitisha mabasi yaendayo Kisemvule na Kisewe. Yani watu wa huko kama hamjui ile starehe ya kukamata kiti toka Gerezani mpaka Kisemvule au Kisewe hakuna tena. Utakamata mchuma mpaka Mbagala, pale utashuka ndio ukapande mabasi ya kwenu yale unayopanda sasa Gerezani.
 
Braza unataka kutuletea kabuli la halaiki?? Maana najua Kwa miundombinu yetu hiyo treni kuna siku itazika watu huko chini na kuokoa gharama tutaamua kuifukia kabisa pamoja na watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mcharo son umefanya tafiti kuhusu underground train gharama ya ujenzi?mawazo matupu bila kufanya tafiti ni sawa na kupiga kelele...

Gharama Za ujenzi wa mwendokasi na matokeo yake inasaidia zaidi kwa sasa,kinachotokea kule kimara ni uhaba wa buses ambao ni tatizo dogo sana sijui wahusika wanakwama wapi,

Nimetumia sana mwendokasi route ya kimara hadi town ni kweli usiopingika inaokoa wakati sana tena kuliko unavyofikiri!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure shida pale mabasi walete mapya na yaliyopo yaliyoharibika yatengenezwe ili watu wasafiri Vila shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Braza unataka kutuletea kabuli la halaiki?? Maana najua Kwa miundombinu yetu hiyo treni kuna siku itazika watu huko chini na kuokoa gharama tutaamua kuifukia kabisa pamoja na watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiogope mkuu, wakati huo wasimamizi sio hawa wa leo. Yaani likitoka gerezani kusimama ni vituoni tu kushusha abiria. sio kama sasa tunaambiwa mwendo kasi lakini kumbe ni kasi ya kuvuta muda.
 
Sure shida pale mabasi walete mapya na yaliyopo yaliyoharibika yatengenezwe ili watu wasafiri Vila shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uongozi huu!! Waliyatelekeza jangwani yakaharibiwa na mafuriko, sijui nani alipendekeza pale. Nasikia wanataka kupeleka Ubungo terminal pia pale haikustahiri kuondoa kituo kile cha mabasi ya mkoa
 
Wewe huoni umuhimu wa kuwa na njia mbadala ya kuingia na kutoka Mbagala kupitia Tandika Buzza?? Unataka ung'ang'ane na Kilwa road tu tena yenye mashimo? Au unafikilia ukiwa unasafiri kwenye mwendokasi umesimama ndio utawahi kufika Mbagala. Usimamizi mzuri unajua utakuja lini!
Wazo lako litabakti kuwa wazo tu kama mengine.
Kwani kukiwa na mwendokasi na hiyo njia ya kwenu unayoitetea ikaboresbwa kuna tatizo gani? Nani kakwambia watakenga barabara ya mwendokasi yenye mashimo?
Huwezi ukajua umuhimu wa mwendokasi kama hauitumii mara kwa mara. Wengine karibu kila siku tunaitumia na inasaidia kinachotakiwa ni maboresho tu.
 
Wazo lako litabakti kuwa wazo tu kama mengine.
Kwani kukiwa na mwendokasi na hiyo njia ya kwenu unayoitetea ikaboresbwa kuna tatizo gani? Nani kakwambia watakenga barabara ya mwendokasi yenye mashimo?
Huwezi ukajua umuhimu wa mwendokasi kama hauitumii mara kwa mara. Wengine karibu kila siku tunaitumia na inasaidia kinachotakiwa ni maboresho tu.
Wazo zuri halitakaa lipite bure.
Njia ya kwetu ipo inaelekea kaskazini sio hiyo. ila hiyo naipenda mana ndio njia kuu inayoleta korosho Dar toka shambani, hakuna ingine, pia ni mdau wa kupita njia hiyo. Na usafiri wa huko huwa nautumia.
Ila ninachoamini mwendokasi kwa sasa sio suruhisho la usafiri mzuri kufika kusini ya Dar (South Dar).
Umuhimu wa mwendokasi kwa hivi ulivyo Kimara, siutaki Mbagala.
Usafiri mzuri Mbagala ni huu kama underground train mnaiogopa kwa sasa:
Kwanza Ijengwe njia mbadala ya kutoka na kuingia Mbagala kupitia Tandika Buza. Iwe na hadhi kama Kilwa road.
Pili kuwe na mabasi kama haya yanayopita Kilwa road kusafirisha abiria.
tatu ndio kuanze kuwa na mchakato wa underground train ya Mbagala, au boat transportationkwa njia ya maji. Hata kama itachukua muda sio shida mana njia hazitakuwa na foleni.
Nne yale magari yanayotoa mizigo bandalini yawe yanatoa/kupita usiku kuzuia foleni Kilwa na Mandela road.
HAPO HAKUNA KUCHIMA MASHIMO KILWA ROAD.
UMENISOMA
 
Underground train in Tz ni kama Day dream au hekaya z Abunuasi nijambo lisilowezekana kulingana na hali ya uchumi ambayo tuna experience kwa sasa

Point ya msingi Mamlaka husika ni bora isitoshe ujenzi wa Miundombinu ya Mradi wa DART pale Mbagala kwasabu

Kwanza Mradi huu mpaka sasa unaendeshwa kwa hasara kwaiyo haina haja ya kuongeza hasara kubwa nyingine

Bora fedha ya kujenga Miundombinu ya DART ikaelekezwa katika kuporesha huduma zao kwa kukarabati mabasi yao chakavu na kuongeza idadi ya mabasi mapya kinyume na hapa Wanachi wa Mbagala wanaletewa Shida ya Usafiri na Mradi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusijizarau. Mbagala imekaa vizuri hakuna mafuriko kule. Hata mifereji inakubari watu wakatumia njia ya maji kufika mjini. Kuanzia kijichi, pale chini ya daraja la TAZARA relini, muonekano wake ni rahisi kujenga usafiri wa boti endapo patachimbwa kuwezesha kupita boti. Ukisema haiwezekani haitawezekana. Try to think...........
Hujui thinking ya viongozi wetu. Mbagala anakaa nani hadi wajenge Underground train?
Anglia daraja last Coco beach hadi Aga Khan. Lina umuhimu gani? Nani anakaa huko?
 
Pamoja na kwamba mwendo kasi inajaza sana ili inaokoa muda sana sana dakika 30 uko town

Sent using Jamii Forums mobile app
KWA UONGOZI HUU!! Kuna siku nilikuwa napanda pale Gerezani kuelekea Kimara. Basi nilisimama kituoni kama robo saa hivi. lilipokuja bahati lilisimama pale nilipo mimi. mlango ukafunguka. Kulikuwa na umati, mara nilijistukia nasukumiziwa ndani ya basi, pembeni yangu kulikuwa na mwanamke. Ile kusukumizwa na yeye sijui alijikwaa akadondoka. Watu walipita juu yake, akijaribu kusimama wapi. Viti vilipo jaa fujo mlangoni ikapungua akasimama lakini kachubuka mkono nguo haifai. Wakamsatahi akae kwenye viambaza(wanaopanda wataelewa). sasa nikapiga picha hii ikija Mbagala acha hayo makero mengineyo iTUTAPATA TABU SANA
 
Hujui thinking ya viongozi wetu. Mbagala anakaa nani hadi wajenge Underground train?
Anglia daraja last Coco beach hadi Aga Khan. Lina umuhimu gani? Nani anakaa huko?
LAZIMA LIWEPO WAZO HATA KWA MIAKA 15-30 MBELE
Mbagala kUNA VIONGOZI NDUGU, NDIO MANA WANATAKA NJIA YA MWENDOKASI ILI WAITUMIE WAO KWA VING'ORA hata kama mradi wa Kimara unasua sua, wao wanachotaka hiyo road iwepo tu. kama unabisha subiri wakijenga utaniambia. Siwataji kwa sasa walioko huko
 
Mcharo son umefanya tafiti kuhusu underground train gharama ya ujenzi?mawazo matupu bila kufanya tafiti ni sawa na kupiga kelele...

Gharama Za ujenzi wa mwendokasi na matokeo yake inasaidia zaidi kwa sasa,kinachotokea kule kimara ni uhaba wa buses ambao ni tatizo dogo sana sijui wahusika wanakwama wapi,

Nimetumia sana mwendokasi route ya kimara hadi town ni kweli usiopingika inaokoa wakati sana tena kuliko unavyofikiri!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nahisi tusimkamate sana mtoa mada kwenye hoja ya underground train, kama tatizo la busses Ni dogo kwa route zilizopo tuu,tunaona jinsi UDART walivyo zidiwa hivi ukiongezwa mzigo wa route ya mbagala kutakuwa na kupona kweli? Nazan Serikali ingehakikisha stability ya hizi route zilizopo before haija jump to another.
 
YATUPASA KUFIKIRIA NAMNA YA KUENDELEZA MIUNDOMBINU ILIYOPO MIJINI Kwa kipindi kirefu sio kwa kipindi cha kutatua matatizo ya awamu iliopo ya uongozi. Kama itachukua miaka 15 safi, tuanzeje ili ikifika tusiharibu tulichojenga. Usijenge kwa kuharibu kilichopo. Utajenga mwendokasi Mbagalakwa kuchimba mashimo Kilwa road!! sikubaliani nayo. Bora ujenge njia ingine kwenye awamu yako uichimbe mashimo.
 
Mcharo son umefanya tafiti kuhusu underground train gharama ya ujenzi?mawazo matupu bila kufanya tafiti ni sawa na kupiga kelele...

Gharama Za ujenzi wa mwendokasi na matokeo yake inasaidia zaidi kwa sasa,kinachotokea kule kimara ni uhaba wa buses ambao ni tatizo dogo sana sijui wahusika wanakwama wapi,

Nimetumia sana mwendokasi route ya kimara hadi town ni kweli usiopingika inaokoa wakati sana tena kuliko unavyofikiri!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni ivyo kutetea basi waweke ushindani katika iyo biashara,Bado daladala zinanafasi yake sana
 
Back
Top Bottom