squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,193
Umewahi panda mwendo kasi na baada ya kuingia ktk basi ukachukua saa moja kuelekea uendako? Naona kumbe haujafanya utafiti ila umeandika kwa kutumia kuona malalamiko tu ya wanaopanda mwendokasi.Kuna mambo mengine hayahitaji utafiti. Basi la mwendokazi linalopita hizo njia, halitakuwa na kasi kama lingepita chini kwa chini kama treni. Kweli underground train inaweza kuwa na gharama zaidi, lakini ni kheri kusubiri uwezo UPATIKANE kuliko kukurupuka. Nani alijua kama raisi Magufuri angeweza kununua ndege kwa kasi hii. Wengine wangesema nchi haina pesa.