Mbagala inahitajika underground train sio Mkulupuko za mwendokasi

Mbagala inahitajika underground train sio Mkulupuko za mwendokasi

Mimi nahisi tusimkamate sana mtoa mada kwenye hoja ya underground train, kama tatizo la busses Ni dogo kwa route zilizopo tuu,tunaona jinsi UDART walivyo zidiwa hivi ukiongezwa mzigo wa route ya mbagala kutakuwa na kupona kweli? Nazan Serikali ingehakikisha stability ya hizi route zilizopo before haija jump to another.
Kazi kubwa ya serikal ni kujenga miundombinu,hao wanaosimamia buses wajitafakar tena,haiwezekan baba alete mchele mpishi apike ubwabwa alafu mumshauri asilete tena mchele,wapishi wabadilishwe hadi apatikane anaejua kama ya kupika vizur kwani mchele unatafutwa kwa gharama kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kubwa ya serikal ni kujenga miundombinu,hao wanaosimamia buses wajitafakar tena,haiwezekan baba alete mchele mpishi apike ubwabwa alafu mumshauri asilete tena mchele,wapishi wabadilishwe hadi apatikane anaejua kama ya kupika vizur kwani mchele unatafutwa kwa gharama kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
awamu hii kazi ya serikali ni kote kote, HAPA KAZI TU.. Hamjaona kwenye korosho (japo sitaki kuingia huko book7 wasijevuruga uzi)
Subirini mwendokazi uanze Mbagala mtakuja kunipa mrejesho. Utafunguliwa kwa mbwembwe then subiri miez kadhaa
 
awamu hii kazi ya serikali ni kote kote, HAPA KAZI TU.. Hamjaona kwenye korosho (japo sitaki kuingia huko book7 wasijevuruga uzi)
Subirini mwendokazi uanze Mbagala mtakuja kunipa mrejesho
Mi nadhan kue na more than one company inayoingiza buses pale,maana GoT wao wanahitaji kodi na commuters wanahitaj usafiri wa haraka,wagawane mkate wananchi hatutak kujua vile wanavyosukuma bizz yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nadhan kue na more than one company inayoingiza buses pale,maana GoT wao wanahitaji kodi na commuters wanahitaj usafiri wa haraka,wagawane mkate wananchi hatutak kujua vile wanavyosukuma bizz yao

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo siku hizi HIZO MAMBO WANAINGIZA NA UCHAMA kama sio siasa HUMO NDANI, SASA WALE WAWEKEZAJI MAKINI WANAKAA PEMBENI. Hivi mtu toka chama flani anaweza kuruhusiwa kuwekeza, ukizingatia uwezo anao basi tu anashabikia chama fulani
 
Tatizo siku hizi HIZO MAMBO WANAINGIZA NA UCHAMA kama sio siasa HUMO NDANI, SASA WALE WAWEKEZAJI MAKINI WANAKAA PEMBENI. Hivi mtu toka chama flani anaweza kuruhusiwa kuwekeza, ukizingatia uwezo anao basi tu anashabikia chama fulani
Hapa naona tunaelekea kukubaliana kua BRT infrastructure sio tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tuone...

Serikalini mara zingine kuna mambo na maamuzi ya ajabu sana...


Cc: mahondaw
 
Hapa naona tunaelekea kukubaliana kua BRT infrastructure sio tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwengine kama huko Kimara sawa lakini sio Mbagara. BRT infrastucture kwa Mbagala inayotegemea Kilwa road tu kwa sasa haifai. Haitatatua tatizo na hata mbelenikama ikitatua basi sio la kudumu kama underground train. Mbagala kuna viwanda Na malighafi zinapelekwa na malori, sasa kuchimba mashimo kwenye hii road NO.
ITENGEZWE ROAD INGINE KWANZA YA TANDIKA BUZA TO Mbagala
 
Kwengine kama huko Kimara sawa lakini sio Mbagara. BRT infrastucture kwa Mbagala inayotegemea Kilwa road tu kwa sasa haifai. Haitatatua tatizo na hata mbelenikama ikitatua basi sio la kudumu kama underground train. Mbagala kuna viwanda Na malighafi zinapelekwa na malori, sasa kuchimba mashimo kwenye hii road NO.
ITENGEZWE ROAD INGINE KWANZA YA TADIKA BUZA TO Mbagala
Tandika buzza barabara ikoje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tandika buzza barabara ikoje

Sent using Jamii Forums mobile app
RAMI njia moja, ila inawezekana sana kuunganishwa maeneo ya Buza kuingia Mbagala, ni takribani kilomita tatu tu na daraja hapo katikati. Ila kwa fungu la BRT itatosheleza njia nne kama kilwa road kwa hizo kilomita japo ni makisio tu yangu
 
Underground?
Hapana kwa kweli maana mvua itatufuata huko huko kwa mafuriko.
Mimi wazo langu bora kungekuwa na providers kama watano

Yaani kampuni ziwe tano tofauti ambazo zitapewa routes za wapi watakuwa wanahudumia, na pia kutakuwa na mawakala ambao watakuwa wanatoa huduma za top up kwenye card za usafiri na hizo ziwe zinapatikana kila mahali kwa mawakala hata kama kwenye hotel au dukani unapata huduma hiyo.

Usafiri huu lazima uwe na makampuni yanayojitegemea yenye magari yao na kuyasimamia wao la sivyo tatizo hili halitakuja kuisha daima


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Sehemu kama dar ukichimba futi 10 unakutana na maji, si dhani kama hiyo anderground inawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
Gerezani pale ukija na njia ya bandari kuelekea Mbagala, KUNA DARAJA. pale gerezani ukiteremka njiaipitayo BP kAMA hizo futi kumi zina maji basi tungeona mifereji ya maji yakitiririka. Na hii tren sio lazima kote ipite chini seheme zingine kama kipande cha Mtongani to Mission Mbagala inapita juu. Pia kuchimba sio mnachimba chini ya nyumba za watu, tuelewane. Mfano kwenye hii nyia ya mwendo kazi hiyo road ya juu ndio paa la kuezeka underground way. Yaani inawezekana. Nyie ma graduate engineers wa UDSM mkuja huku tutatue jambo
 
Underground?
Hapana kwa kweli maana mvua itatufuata huko huko kwa mafuriko.
Mimi wazo langu bora kungekuwa na providers kama watano

Yaani kampuni ziwe tano tofauti ambazo zitapewa routes za wapi watakuwa wanahudumia, na pia kutakuwa na mawakala ambao watakuwa wanatoa huduma za top up kwenye card za usafiri na hizo ziwe zinapatikana kila mahali kwa mawakala hata kama kwenye hotel au dukani unapata huduma hiyo.

Usafiri huu lazima uwe na makampuni yanayojitegemea yenye magari yao na kuyasimamia wao la sivyo tatizo hili halitakuja kuisha daima


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sawa wazo lako sio baya mtasafiri, lakini kwa njia inayopita au kwenda heavy industrial area isichimbwe mashimo. Hivi tuulizane kwa nini barabara ya airport husikii mpango wa kuiwekea mwendokasi. Unafikiri wakubwa wanapenda kupita kwenye yale mashimo wakienda panda ndege?
 
Mipango ya nchi ndio inatekelezwa, kabla I huu mradi wa mwendokasi kuanza kuna watu walizunguka uko duniani wakala posho na gharama mob za vikao wakaja na huo muarobaini,Leo ghafla tu waje na underground train lol hakuna nchi inaendeshwa hivyo...

Idea ya kununua ndege inamanufaa zaidi kwa sababu ni kweli shirika lilikua kama mfu, angalia wameshapata deal ya watalii 10000 kutoka China ambao kila week wanakuja 262, hao unawafuata mwenyewe unawaleta hadi Tz, unapiga pesa ya nauli na bado unapiga pesa ya utalii wao. ..hii ndio akili kubwa

Nikukumbushe sekta ya utalii tu mwaka jana imeingizia taifa $2.44bln ambayo ni zaidi ya tsh5 trillions, hapo ni wageni 1.5M ndio waliozuru,Hawa wakihamasishwa wakafika 2M ni possible kupata zaidi ya $3.5B

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa vipi njia pekee inayoleta korosho Dar, ichimbwe mashimo??
 
Mipango ya nchi ndio inatekelezwa, kabla I huu mradi wa mwendokasi kuanza kuna watu walizunguka uko duniani wakala posho na gharama mob za vikao wakaja na huo muarobaini,Leo ghafla tu waje na underground train lol hakuna nchi inaendeshwa hivyo...

Idea ya kununua ndege inamanufaa zaidi kwa sababu ni kweli shirika lilikua kama mfu, angalia wameshapata deal ya watalii 10000 kutoka China ambao kila week wanakuja 262, hao unawafuata mwenyewe unawaleta hadi Tz, unapiga pesa ya nauli na bado unapiga pesa ya utalii wao. ..hii ndio akili kubwa

Nikukumbushe sekta ya utalii tu mwaka jana imeingizia taifa $2.44bln ambayo ni zaidi ya tsh5 trillions, hapo ni wageni 1.5M ndio waliozuru,Hawa wakihamasishwa wakafika 2M ni possible kupata zaidi ya $3.5B

Sent using Jamii Forums mobile app
Alaa, kumbe ndio maana ilikuwa rahisi kuwanunua wapinzani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani trams (overground train) itafaa zaidi Kwa sababu ujenzi wake hauchukui nafasi kubwa na pia zinaweza beba watu wengi Kwa wakati mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kubwa ya serikal ni kujenga miundombinu,hao wanaosimamia buses wajitafakar tena,haiwezekan baba alete mchele mpishi apike ubwabwa alafu mumshauri asilete tena mchele,wapishi wabadilishwe hadi apatikane anaejua kama ya kupika vizur kwani mchele unatafutwa kwa gharama kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok then,baba asiendelee kuleta chakula ambacho akipikwi,ahakikishe mpishi yupo na chakula kinapikwa ndipo alete kingine so tunarudi kwenye point before mradu haujawa expanded to the next phase mamlaka zinahusika zihakikishe stability ya current phase.
Lengo sio kupinga Ni kuhakikisha tunapata kitu bora zaidi.
 
Unafikiria kwa kutumia nn ww...korosho ni mayai kwamba yatavunjika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usitake kutumbukiza siasa hapa.Korosho ni mfano tu, angalia njia kuu zote ziingiazo mjini Dar zimewekewa mbadala kasoro hii ya Kilwa road kutokea Kongowe, Mbagala mpaka town.Sasa hiyo hiyo iliopo mnataka kuiongezea mashimo Unafikiria kwa kutumia nn ww!!
 
MASHIMO YANAPUNGUZA MWENDOKASI KUELEKEA VIWANDANI. Sasa Tz ya viwanda tutafika kwa mwendo huu. Hata mjomba Magu analijua tatizo hili.Hope one day ataamkia huku
 
Back
Top Bottom