Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,897
- 3,706
Internet haitengenezwi ni connectivity ya vifaa mbalimbaliNaona swali halijajibiwa.
Internet inatengenezwa na nani na wapi ?
MB, au GB ni kipimo tu cha internet kama unavyoweza kupima wungi wa nyama ukapata nusu kilo, kilo moja, mbili nk.
Nani anatengeneza Interneti, na anatengenezea wapi, na anatumia malighafi gani ?
Hata ukiingia quora, mtandao wa kimataofa bado utapata maswali yote. Hili swali ni relevant sana kwa mtu asiye wa field hii. Mnaojua toeni majibu.Kuna vitu unasoma unabaki unajiuliza hivi wabongo ndo wana ufahamu wa kiwango cha chini namna hii? Mbaya zaidi swali linaulizwa na mtu ambaye ameweza kuingia mpaka JF!
Hum Wanajibu tofauti kabisa na muuliza swalimtoa mada hakuuliza internet inatoka wapi au inamilikiwa na nani,yeye ametaka kujua MB Zinatengenzwa wapi au chanzo chake nini na pia kataka kujua kama kuna uwezekano wa kupata MB bila kulipia(nimereplace neno kutengeneza MB kimagendo)
Mkuu muulizaji hajauliza hlo! Anataka kujua zinatengenezwa wapi? Na je anaweza kuzimiliki? Swali linajieleza majibu yanatoka offline kwa nn?Data ni series ya on and off (zeros and ones) kila kitu cha kidigitally ni zero au moja ndio maana ikaitwa digital..., (Kwahio picha video sentensi zote ni zero au moja)
Wingi wake ndio unafanya ukubwa wa data; Bit, (the smallest unit) Byte; Kilobyte, MegaByte n.k. Sasa watu wenye miundo mbinu yao (tuseme ni kama barabara za hizo bits kupita (walishaweka mitandao yao iwe nyaya, satellite n.k.) kwahio wanaamua waauze kiasi gani kwa wewe kuweza kupitasha hizo bits zako..., na hapo kuna wauzaji wakubwa wa jumla, wauzaji wadogo kidogo wa jumla n.k. wewe ukinunua barabara fulani ili wateja wako wapite kwa elfu kumi na kila mteja unamchaji tshs tano unaweza hata kwenye barabara yako ya capacity ya watu elfu kumi ukauzia watu elfu ishirini sababu sio wote wanapita kwa wakati mmoja (ila wakipita kwa wakati mmoja ndio hapo unashaangaa mitandao ipo slow (over capacity)
Na ndio maana zamani kabla serikali haijaingilia na kuharibu mitandao ilikuwa inaweza kutoa promo kwenye offpeak times sababu hakuna gharama yoyote kama barabara zipo tayari ni bora upate watu kwa bei ndogo kuliko kuwakosa (hio sio kama kitu physical ukitumia kinakwisha; its just a bandwidth; kwa mfano wangu ukubwa wa barabara)
Mfano rahisi ukinunua wifi kwa kina voda et al na kuwafungia watu ishirini na kila mwezi wanakulia elfu kumi utapata elfu ishirini wakati voda unawalipa 150k (Its just the same thing at a larger scale)
Mkuu mbona hujawahi kuuliza vocha zinatengenezwa wapi? Ukipata maarifa ya kutengeneza vicha, MB zitajileta zenyeweHabari wanaforums, naomba kujuzwa Data au MB zinatengenezwa wapi, haiwezekani mtu yeyote kitaa akazitengeneza kimagendo?
Unamaanisha hata wale TTCL hawana uwezo wa kutengeneza data?Ni wapi zinatengenezwa?... huko mitaani labda upate mwizi wa mitandao akupatie kifurushi bila malipo!
NB: 1) SISI BONGO DATA TUNA'IMPORT' TU!
2) NGOJA VILAZA WALIOCHANGAMKA WAJE KUKUPAKA!
Mfano mzuri ili aelewe ni akinunua malaya basi kabla ya huduma mtoa huduma atachukua hela, sasa ukienda room ukashindwa kubandua malaya atasepe na mtonyo muda umeisha bila kujali kwamba hujambandua.Si zinaexpire MB ni kipimo Yani ni sawa ni kwambie umelipia kucheza kwa saa 5 katika uwanja wangu wa michezo. Wewe ukacheza kwa saa 3 halafu ukapumzika. Yakitimia masaa matano nikakwambia muda wako umeisha. Ila kumbuka umecheza masaa 3, yale mawili utasema aymeenda wapi?
Wamebobea kwenye kiswahili wanalazimisha ujuaji ...Hum Wanajibu tofauti kabisa na muuliza swali
Swali lake lina mantiki labda wewe ndio hujamuelewa anachohitaji kujua.Kuna vitu unasoma unabaki unajiuliza hivi wabongo ndo wana ufahamu wa kiwango cha chini namna hii? Mbaya zaidi swali linaulizwa na mtu ambaye ameweza kuingia mpaka JF!
Huwezi kujibiwa kuku anatoka wapi au anatengenezwa vipi wakati haujui yai ni nini, It is impossible; Kuuliza kwake tu mb zinatengenezwa wapi ni kuonyesha kwamba hajui yai ni nini ? Kwahio he/she needs to start on basics na kwa kuonyesha am on the right track tumuulize bush crazy kama baada ya kusoma jibu langu he/she is not wiser than before....Mkuu muulizaji hajauliza hlo! Anataka kujua zinatengenezwa wapi? Na je anaweza kuzimiliki? Swali linajieleza majibu yanatoka offline kwa nn?
... DATA inamuwezesha mtumiaji simu, kompyuta au kishikwambi kuwasiliana na kompyuta, simu na vishikwambi vingine kupitia mtandao mkuu wenye KOMPYUTA KUU, AMBAZO ZIKO NCHI ZA MAGHARIBI, na kuongeza content, kutoka KOMPYTA KUU kwa msaada wa wawezeshaji kama kampuni za simu au internet na kadhalika!Unamaanisha hata wale TTCL hawana uwezo wa kutengeneza data?Ni wapi zinatengenezwa?
Kima Cha chini uwe na kama USD 50kMkuu naomba elezea kwa lugha rahisi wengi tuelewe ISP ni aina gani kampuni gani na capacity seacon ni nini na gharama zake ni shikingi ngapi
Nimechekamajibu wanayotoa wadau yamekaa kI HKL
A Very nice scenario/example to be understood by anyone.Haziendi sehemu
Mfano wewe umelipia kuangalia mpira mechi dakika 90 ukiondoka dakika ya 60 hizo 30 wanazipeleka wapi? Jibu hawazipeleki sehemu hizo MB ni kitu cha kufikirika zaidi ni ruhusa ya wewe kitumia miundombinu ya mtandao sana sana hicho kiti ulichokaa wewe uwanjani atakuja kukaa mtu mwengine uwanjani wewe unalipia ile siti na kwenye mtandao wewe unalipia ile miundombinu ya mtandao
Kuna watu huko juu kama watano,nami nikiwemo,tumeeleza vizuri tene kwa njia tofauti kabisa,lakini watu hawaelewi,labda kwa vile wengi hawana ABC ya masuala ya IT yanavyofanya Kazi..Nimecheka
Ila kweli maana kuna watu wanatoa maelezo marefu
Alifanywa nini huyo injinia?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yule injinia akili za darasani alibarikiwa sana nakwambia sana . lkn yule msanii alithibitisha elimu yetu sio kitu kabisa ule uzi injinia matusi yakaanza kumtoka 🤣🤣🤣
Jf ina vituko.Mfano mzuri ili aelewe ni akinunua malaya basi kabla ya huduma mtoa huduma atachukua hela, sasa ukienda room ukashindwa kubandua malaya atasepe na mtonyo muda umeisha bila kujali kwamba hujambandua.
Bytes (B) au Kilobytes (KB) au Megabytes (MB), au Gigabytes (GB) au Terabytes (TB), n.k ,....... ni memory capacity ya computer au storage device unayotumia kuhifadhi digital data zako, ambazo kawaida huwa zinahifadhiwa zikiwa kwenye form ya zeros na ones
Data hizi zinaweza kuhifadhiwa hata kwenye computer ambayo haiko kwenye intenet, yaani unaweza kuzihifadhi hata kwenye computer yako mwenyewe ambayo haijaunganishwa kwenye internet
Kwa hiyo ieleweke kuwa MB na internet ni vitu viwili tofauti, isispokuwa ukihitaji kutumia internet ndiyo unapimiwa NAFASI YA KUHIFADHIA DATA ZAKO kwa kutumia MB
Nafasi hiyo unayopimiwa ikishajaa, maana yake ni kwamba MB zako zinakuwa zimekwisha
Kwa hiyo inapotokea kuwa umeunganishwa kwenye internet, ina maana kuwa aliyekuunganisha kwenye internet amekupa storage space au memory space kulingana na mahitaji yako
Kwa hiyo kwa maana nyingine ni kwamba MB zinaweza kupatikana kwenye storage devices yoyote hata kama haina internet, na hivyo MB zimekuwepo hata kabla ya internet kuanza
Rasmi intenet ilianza mwaka 1992 lakini MB zilikuwepo hata kabla ya hapo
Wewe unayeandika kitu ndiye unayezitengeneza MB, ihuku computer yenyewe nayo ikiwa imtengenezwa kuzihesabu kwa kutumia utaratbu maalum
Hii text niliyoandika hapa kukujibu swali lako, tayari mimi mwenyewe nimeshatengeneza MB moja au mbili hivi
VPN maana yake ni kwamba wewe unakuwa physiclly uko hapa lakini kifaa chako kime-connect tuseme na LAN ya watu walioko kwenye ofisi moja mahali fulani KOREA YA KUSINI au uingereza. Kwa hiyo ulionao phsically hapo ofisini kwako, COMPUTER yako haiwezi kuonana na computer zao pamoja na kwamba mpo wote kwenye chumba kimoja, isipokuwa inaweza kuonana na watu waliopo kwenye ofisi moja mahali fulani huko Korea ya Kusini au Uingereza, as if uko nao phsically mahali pale ulipo weweMkuu kongole kwako kwa hakika umefunga mjadala kikichobaki muulizaji aulizie namna ya kudukua ukajiongezea ukomo wa internet kama ulipewa GB 1 wewe ujiongezee hadi 5 nadhan hiyo kazi ya wadukuzi, vp kuhusu hiz VPN ambazo watu wanatumia kuperuzi intrnet?
tuone huo uzi mkuu?🤣🤣🤣 Umenikumbusha kuna vita kali ilitoka humu kuna injinia mmoja alikua anatambwe sana na vyeti vya kutisha sana aliweka hapa ni 1.7 na 1.3 mpk GPA 4.8 Lakini alishikishwa adabu na Msanii mmoja jiniaz anaitwa Humble Africa. HKL walikua wanachekea ndani ya shuka,🤣🤣🤣 na kumchangia Likes tu mkuu Humble.