Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,487
mh! Kumekucha. We want jokes hapa jamani. Hii ingefaa zaidi kule jukwaa la siasa
mzee tumewafahamu, kumbe mnatumwa, ata mimapovu kibao kumbe nyie na mafisadi damu damu, aya bana uo ni ujanja pia njia rahisi ya kuishi aswa katika hali hii ngumu ya maisha ilosababishwa na ao ao mafisadi unaowatetea, this is purely rediculoushuu upuuzi tu!
Mbona unatumia nguvu kubwa sana? JF siyo mahali pa kutolea mapovu kama unavyofanya. Hii ni social forum tu. BTW hii ni joke tu na siyo kitu serious, so nakushauri uwe mpole tumzee tumewafahamu, kumbe mnatumwa, ata mimapovu kibao kumbe nyie na mafisadi damu damu, aya bana uo ni ujanja pia njia rahisi ya kuishi aswa katika hali hii ngumu ya maisha ilosababishwa na ao ao mafisadi unaowatetea, this is purely rediculous
Na wewe acha ukudakwa nini umeiweka kwenye joke???? hii ipelekwe kwenye jukwaa la siasa
Huu upuuzi tu!
Nawashangaa watu wanapenda sana kunitaja. Kwenye kila thread ya jukwaa la siasa lazima ukutane na jina rejao.naona ume changia kinyonge imekugusa nini?
Waliona huu ni uchafu ndio maana wakaileta huku.Hii thread niliibandika Jukwaa la Siasa Mkuu, Mods wameihamishia huku!
upuuzi sana huuWaliona huu ni uchafu ndio maana wakaileta huku.
Huu upuuzi tu!