n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Kuna taarifa nimepata sasa hivi toka kwa mdau mmoja yupo Bandarini Dar es Salaam anadai kuna shehena ya mabomu imenaswa bandarini hapo.
Kama kuna waandishi wa habari (Clouds FM wamesharipoti nasikia) basi nawashauri wafuatilie kwa karibu
Kama kuna waandishi wa habari (Clouds FM wamesharipoti nasikia) basi nawashauri wafuatilie kwa karibu
Last edited by a moderator: