..kama ni mazoezi wangefanyia bandari ya Mtwara ambayo haiko busy kama hii ya DSM.
..huwezi kusimamisha kazi na muda wa watu kwa ajili ya kufanya mazoezi ya kivita.
..kama walikuwa wanafanya mazoezi ya EVACUATION hiyo ingeeleweka. pia watumishi na wateja wa bandari wangepaswa kuwa sehemu ya zoezi hilo.
NB:
..nitasikitika sana kama tumeanza kuwa uchochoro wa silaha za kivita za Uganda.
..wakati wa vita vya DRC zilipitishwa silaha nyingi sana na Rwanda na Uganda na ndiyo zimekwenda kuivuruga DRC na kuua mamilioni ya watu. halafu tunaingia gharama ya kuwapatanisha na kupokea wakimbizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.