FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Nani kakwambia sijifuniki? Kwanza Kiislam haturuhusiwi kulala tupu kabisa.Mashimo hayo yapi, mbona pua na masikio hufuniki ukilala
Hao wadudu hawayaoni
Huo ni uzwazwa kama uzwazwa mwingine tu.
Hakuna mdudu anaweza kuingia kwenye tundu la mwanadamu
Ikitokea ujue ni ajali kama ajali zingine bibi yangu
Kihusu masikikio na pua, sijawahi kulala bila net (chandarua)
Bila net sipati usingizi.
kwayo mdudu anaingiaje hapo
