kuna mama mmoja alitoka nje ya nyumba yake uchi hana hata chupi na brazia, yuko kama alivyozaliwa baada ya nyumba yake kuanza kuwaka moto kitandani kwa kusababishwa na kibatari kilichokuwa kikiwaka karibu na net. Ishu ya kulala bila hata chupi hata kama uko peke yako ni kasheshe pindi hatari yoyote ikitokea ndani ya nyumba. Moto na nyoka ni tishio ndani wakifuatiwa na 'popo bawa'. Si vizuri kulala uchi kama hakuna shughuli ya kufanya inayokulazimisha uwe uchi kama tendo la ndoa. Ukimaliza kufanya tendo la ndoa vaa nguo za kulalia ulale salama. Halafu si vizuri kulala uchi huku mkiwa wanaume watupu kuna wengine hupandwa na mzuka wa kumpapasia mwanaume mwenzake mtulinga, kama vipi ni marufuku kulala kitanda kimoja wanaume watupu la sivyo vaaeni majinsi na mkaze mikanda. Ke na ke poa