Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Ni kweli sijawahi kusikia mtu kafungwa kisiasa ktk vipindi vya miaka mitano ya VASCO... ila tumeshuhudia assassinations za ajabu ajabu kwa kisingizio cha majambazi, ajali n.k. Hivyo nadhani Vasco ametuma ujumbe kwa wana JF kuwa mnapokosoa mjue siku rungu litawashukia. Tuombe MUNGU awaline akina invisible maana bila hivyo ishu itakuwa ishu.
Maneno ya Rais yanapaswa kuchujwa na kuhifadhiwa kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo. Tena LHRC wanapaswa kuipeleka segment ya hutuba hii The Hague ili waone dhamira iliyopo kwenye mistari ya mpewa dhamana.....
.
Hivi kweli jamaa ni smile killer? Ila kweli kauli yake bungeni inatakiwa iingizwe kwenye historia. Hii ni kauli inayotolewa na marais kama kina Bokasa,Mabutu, idd amiin nk. Kina Mwaipopo, Msope kaeni chonzo!!