The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Nimemskiliza kwa makini ulimwengu yuko sahihi maana chuo kimezubaa scna siku za hivi karibuni.
Sijui nkruma hall wanaitumia kwa kazi gani siku hizi. Najiuliza je huenda siku hizi vijana wanaoenda vyuoni ni wadogo sana kiasi amabacho hawawezi kujenga hoja.
Hapana wanasiasa wamekikandamiza hiki chuo ili kiwe kitovu ha kutoa machawa badala ya wasomi critical thinkers.
UDSM iligeuka mwiba kwa CCM
All the time utasikia wanapongeza pongeza tu. DARUSO hatuisikii tena vijana machachari wamepotea kabisa
UDSM Tokeni mujibu hoja
Sijui nkruma hall wanaitumia kwa kazi gani siku hizi. Najiuliza je huenda siku hizi vijana wanaoenda vyuoni ni wadogo sana kiasi amabacho hawawezi kujenga hoja.
Hapana wanasiasa wamekikandamiza hiki chuo ili kiwe kitovu ha kutoa machawa badala ya wasomi critical thinkers.
UDSM iligeuka mwiba kwa CCM
All the time utasikia wanapongeza pongeza tu. DARUSO hatuisikii tena vijana machachari wamepotea kabisa
UDSM Tokeni mujibu hoja