Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Tuko kwenye msafara kuelekea sokoni I kwenda kumpumzisha ndugu, mpendwa wetu Judy William,nitawaletea kitakachokuwa kinajili.
.



Picha za Mazishi ya mwenyekiti wa BAWACHA kata ya Sokoni I Judith William Moshi, alie uwawa na kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya soweto jijini Arusha siku ya kufunga kampeni za chaguzi ndogo tarehe 15.06.2013, uchaguzi ambao ulikuwa ufanyike tarehe 16.06.2013...
View attachment 98624
View attachment 98625
attachment.php


View attachment 98627Marehemu wengine walisafirishwa juzi usiku kuelekea Tanga na Tabora huku jana majeruhi mwingine akiaga dunia kwa bomu na risasi za tarehe 15.06.2013..
CCM mna pesa na majeshi, CHADEMA tuna MUNGU na WATU...hamtatuua wapenda mabadiliko wote nchini...

==============================
Picha za Makaburini
==============================

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • 11.jpg
    11.jpg
    48.4 KB · Views: 3,730
  • 12.jpg
    12.jpg
    61.4 KB · Views: 3,643
  • 13.jpg
    13.jpg
    60.2 KB · Views: 3,622
  • 14.jpg
    14.jpg
    60.5 KB · Views: 3,536
Last edited by a moderator:
Poleni lakn angalieni mabomu aliyoenda kuyanua nchemba a.k.a savimbi huko china hayajaisha
 
watu wamejipanga barabara ya uhuru.
 
Kisasi kimeruhusiwa maana jicho kwa jicho na jino kwa jino. Aliyeuwa na yeye auwawe tu familia Yake na wao waone uchungu
 
Mkuu poleni sana. Mpendwa wetu Judy Pumzika kwa Amani.

Tunaomba muendelee kutupa updates.
 
Poleni wana Arusha na watanzania wote wapenda amani.Mungu awape nguvu na ujasiri katika wakati huu
 
Tangulia Judith, nasi tunafuata. Tuko kwenye mapambano dhidi ya udhalimu na hukumu ya kipigo na kifo juu yetu imetangazwa na waziri mkuu bungeni.
 
si kumekatazwa kusanyiko lolote huko, ama leo intelijensia inasema hali ni shwari. Tunawaombea salama na mkampumzishe kwa amani kiongozi wenu. Mungu awatangulie na kuwapa faraja wale wote walioguswa na msiba huu wa kusukitisha. Mungu amlaze mahali pema peponi, AMEN
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Poleni sana makamanda..mungu wetu katika amri zake kuu amesema usiue ..nanyi mmeua mungu wa yakobo,isaka ,na ibrahimu atasema nanyi yeye!kipeeke naweka katika maombi makamanda wote mnaoenda kumweka katika nyumba ya miilele kamanda judy,na wengine waliofariki katika uharamia usiokuwa na tija kwa wananchi.kumbukeni hii nyie mnaohusika na mipango na uaji..mungu asema hivi kwa watu wote wenye roho na nyama plus damu...ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga....jirekebisheni wahusika..
 
Tuko kwenye msafara kuelekea sokoni I kwenda kumpumzisha ndugu, mpendwa wetu Judy William,nitawaletea kitakachokuwa kinajili.
.
RIP Kamanda Judy William Mchango wako umetambulika na utatambulika milele!.

Tutazidi kupambana mpaka vitu vizito vyenye NCHA kali virukavyo na kuwadhuru watu vishiwe nguvu. AMINA.
 
Mungu awatie nguvu familia yake na watoto wake,
Naomba damu yako iwe juu ya hawa wote waliopanga unyama huu.
 
Back
Top Bottom