Mazishi ya Kanumba, kamati yapiga hela ndefu

Pamoja na yote ila ni fundisho kubwa sana kwa sisi tulobaki.....mtu akipata mafanikio anakaa mbali sana na familia kiasi cha kuwa anamilikiwa na jamii zaidi ya familia yake (sikatai kupendwa na watu wanaokuzunguka hata kushirikiana nao) ila haya ya kamati ya mazishi ya style hii ni indicator ya modern culture kutawala sana maisha kiasi cha kukosa hata uamuzi wa kifamilia kwenye mambo ya maana, makubwa na mazito it be a sad or happy moment.

Mytake; Kwa yaliyotokea yawezekana kuwa hata yeye marehemu alikuwa anawachukulia wazazi wake "poa" mbele ya marafiki zake ndo maana hiyo kamati ilikuwa na nguvu to that extent.......tumeona misiba mingi ya watu wa caliber tofauti tofauti oftenly last say hutoka kwa wazazi au familia husika, wengine mnakuwepo kutoa ushauri na kuhakikisha mipango ya familia inaenda sawa. In other words tunapopata mafanikio kwa umakini tupiganie sana umoja na ustawi wa familia zetu ili iwe kimbilio wakati wa maisha, ugonjwa na umauti na kamwe hatutokaa tujute.....we shud never leave our parents and families exposed, spineless and with an egg shell status.....we shud always avoid these at any cost

Ushauri: Kama umeamua kuishi hiyo modern culture then weka will mapema kama wafanyavyo hao walioianzisha ili kuja kupunguza mivutano kama hii otherwise tegemea familia yako kuyumba sana sana pindi utakapo oa, zaa, ugua au aga dunia


Ni maoni tuuu
 
mnakumbuka clouds radio ilivyokuwa ikimponda KANUMBA kwamba hasikii/haongei kingereza???
leo wanajifanya kumwenzi kumbe wanapiga hela tuu
 
TUTAMALIZAJE WIZI HUU WA VYOMBO VYA HABARI KAMA CLOUDS RADIO AND TV. Nipo tayari kufungua kesi ya madai kwa niaba ya familia ya Kanumba ili Clouds Walipe maana wamefaidika.

Huna hoja yoyote ya msingi zaidi ya chuki binafsi ambazo huenda zinasukumwa na wivu wa mafanikio ya Clouds!

Katika vyombo vyote vya habari vilivyoripoti wewe umeiona Clouds tu?

Na kwa taarifa yako 'wake' ya Kanumba ilikuwa newsworthy. You don't have a case. What you have is ridiculous and frivolous. So I say go ahead and make their day.
 
Hii ni Move au reality maana sielewielewi,maana hawa bongo move bwana tusije sikia baadae kwamba gaazeti lilinukuu maandalizi ya move
 
Bongo movie na wanakamati muoneeni huruma mama kanumba sio vizuri kabisa iweje zichangwe mil51 then mtumia mil50 na kubakiza moja tu?? Kwanin msingebakiza hata 20m kwa mama apunguze machungu? Hamuoni kumfanyia hvyo ni kumzidishia machungu? Hatutowaelewa wote nyie kwenye kamati mna shughuri za kuwaingizia vipato yanini mle hela za marehemu? Hadi wewe steve unamfanyia hvyo wajina wako? Ray unamfanyia hvyo swahiba wako?
 
kuna taarifa wameiweka kuwa wanatoa account na namba kwa ajili ya mpesa,kwa mawazo yangu bora mama mzazi angefunguluiwa a/c kama hana tuweze kutoa rambirambi zetu kule
 
Tunaoona mbali tulishalisema hili tukaambulia kejeri na kuambiwa tunamuonea wivu Marehemu, harusi ya kifahari inaweza kufanyika kwa bajeti ya shilling millioni 20 tu, sasa msiba ndiyo mtu akwambie wametumia millioni 50 huu si ni uhuni? kinachoniuma mimi ni zile millioni 10 ambazo ni kodi zetu kwenda kuliwa na hawa wahuni.
 
mkuu, wabongo akili yetu tunalazimisha iwe fupi na 'ndio maana wakenya wanatudharau'.
Hawa jamaa upeo wao hawawezi kuona huko unapopasema!

sasa na wewe wakenya wanaingiaje ?! Aiseeeh umenikeraa mpaka basi !
 
Hakuna mbongo mwaminifu tena siku hizi wote tunawaza wizi tu
 
Iyo ya mpesa 20,000tshs nimechoka!
Anyway wekeni mambo hadharani basi wapenzi wake waridhike

Ndio hapo mkuu hata mimi nashangaa wakati kuna raia wa Ghana nilikua nao huku Zanzibar walitumia laki mbili na elfu 50
 
Back
Top Bottom