Mazingira ya Chato yanaathiri vipi utendaji kazi wa Mkuu?

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
Msoga sio ikulu.
Kule Tanga kwa mzee mkapa sio ikulu
Musoma kwa baba wa taifa sio ikulu
Chato pia sio ikulu.

Mazingira ya ikulu ni ya kipekee sana , kunaninvestiment nyingi sana zimefanyika na kila facility ipo vizuri.

Wengi tumeona mazingira ambayo waziri wa sheria aliapishwa ( sijui kama katiba inaruhusu mtu kuapishwa nyumbani kwa mtu)

Huku kuku wana piga kelele, mara sijui dirisha halija kaa vizuri,

Ninacho taka kusema labda awe fisadi ndio atakua na makazi yanayo lingana na ikulu.

Sasa unapo kua na mkutano kama wa sadc au EAC background nayo inazungumza kwenye mkutano.

Ingekua aibu sana kwa Tanzania kwa mazingira yale ya mzee kuonekana nje ya nchi. Ana nyumba nzuri sijui pesa kapata wapi lakini hazija jengwa kitalaam au kisasa, zimejengwa kwa nguvu ya hela.

Kwa hiyo hili swala la mkuu kukaa kijijijini kwake linaleta shida sana.. na linaweza chukua muda mrefu sana kwa sababu maambukizi yakienea utashangaa kakpeni za uchaguzi anapigia akiwa chato.

Ni vizuri Rais arudi Ikulu
1. Ni salama zaidi
2. Facility za kutosha
3. Usalama wake utakua poa zaidi
4. Coordination ni rahisi zaidi
5. Gharama kwa sababu watukishi wote alio enda nao wanalipwa as if wapo kwenye ziara .


Imagine chato ingeonekanaje hapa. Afadhali alikacha mkutano watanzania tusiabike.
IMG_20200512_181911.jpeg
IMG_20200512_181908.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majib mafupi kwa topic muhim. Kama kawaida yako

Sent using Jamii Forums mobile app

Wapigaji hao. Mikutano ya kikanda huandaliwa na Secretariat ya kikanda na kunakuwa na agenda inayojulikana. Hao walikuwa wanawashukuru mabeberu IMF kwa kuwapatia mikopo ambayo tayari Wananchi wa Kenya wameanza kulalamikia mzigo wa madeni. Pitia maazimio yao utakuta haya.
Ni wapigaji walioamua kuji lockdown, wataelewa tu.
 
Mbona unahangaika kama kuku mtetea ?,taga sasa!
Fahamu kuna action man na blabla mens

Magufuli hakuzoea maneno kufurahisha wazungu ,hao wapoteza muda,hao ukimtoa Uhuru Kenyatta ,waliobakia ni marais wa maisha
 
Wapigaji hao. Mikutano ya kikanda huandaliwa na Secretariat ya kikanda na kunakuwa na agenda inayojulikana. Hao walikuwa wanawashukuru mabeberu IMF kwa kuwapatia mikopo ambayo tayari Wananchi wa Kenya wameanza kulalamikia mzigo wa madeni. Pitia maazimio yao utakuta haya.
Ni wapigaji walioamua kuji lockdown, wataelewa tu.
Well said, big up!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani hizo picha na views mojawapo ingekua ya kutoka Tz. Just my wish aiseeeee
 
Msoga sio ikulu.
Kule Tanga kwa mzee mkapa sio ikulu
Musoma kwa baba wa taifa sio ikulu
Chato pia sio ikulu.

Mazingira ya ikulu ni ya kipekee sana , kunaninvestiment nyingi sana zimefanyika na kila facility ipo vizuri.

Wengi tumeona mazingira ambayo waziri wa sheria aliapishwa ( sijui kama katiba inaruhusu mtu kuapishwa nyumbani kwa mtu)

Huku kuku wana piga kelele, mara sijui dirisha halija kaa vizuri,

Ninacho taka kusema labda awe fisadi ndio atakua na makazi yanayo lingana na ikulu.

Sasa unapo kua na mkutano kama wa sadc au EAC background nayo inazungumza kwenye mkutano.

Ingekua aibu sana kwa Tanzania kwa mazingira yale ya mzee kuonekana nje ya nchi. Ana nyumba nzuri sijui pesa kapata wapi lakini hazija jengwa kitalaam au kisasa, zimejengwa kwa nguvu ya hela.

Kwa hiyo hili swala la mkuu kukaa kijijijini kwake linaleta shida sana.. na linaweza chukua muda mrefu sana kwa sababu maambukizi yakienea utashangaa kakpeni za uchaguzi anapigia akiwa chato.

Ni vizuri Rais arudi Ikulu
1. Ni salama zaidi
2. Facility za kutosha
3. Usalama wake utakua poa zaidi
4. Coordination ni rahisi zaidi
5. Gharama kwa sababu watukishi wote alio enda nao wanalipwa as if wapo kwenye ziara .


Imagine chato ingeonekanaje hapa. Afadhali alikacha mkutano watanzania tusiabike.View attachment 1448710View attachment 1448712

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu no 1,2,3,4,5 ni za msingi.Lakini hatujui kwa nini Raisi Magufuli yupo hapo kwa kipindi kirefu.

Haya majibu tungeyapata bungeni kama hao wabunge na spika wao wangetaka kutupa ubuyu.
 
Back
Top Bottom