Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Nchi ya majaribio.
Ya kweli na mimi nilisikia hii habari. Sasa huyu aliyetoroka ni nani? Au labda walioua Msikitini MZA walikuwa kadhaa na na aliyeuwawa Dar ni mmoja wa kadhaa!Hivi hawa majambazi walioua Mwanza wapo wangapi Dar walimua aliye waua watu msikitini mwanza na Tanga hizii sinema zitaisha lini.
Lolote baya linapotokea mbio mtandaoni,jema hutalisikia...tutafika kweli endapo kila mtu akikazania kuangalia na kukosoa udhaifu wa mwingine bila kutoa suluhisho mbadala!
Hapo ndiyo baadhi ya makabila usema maweeeee!Jeshi la polisi mkoani Mwanza limesema mtuhumiwa wa ujambazi waliyemkamata kwa matukio ya uhalifu yakiwamo ya uporaji maduka ya miamala ya kifedha na mauaji ya watu watatu msikitini, Hamis Juma, ametoroka chini ya ulinzi wa polisi wakati akiwapeleka mlimani kuwaonyesha wahalifu wenzake. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amesema mtuhumiwa huyo alikuwa mikononi mwa polisi akiwapeleka mahali walipojificha wenzake katika mlima Kiloleli, baada ya polisi na mtuhumiwa huyo kufika eneo la tukio saa 8:00 usiku, ghafla majambazi waliokuwa wamejificha katika mlima huo walianza kurusha risasi kwa askari ambao walitaharuki na kujibu mashambulizi huku wakimsahau mtuhumiwa aliyewapeleka. #Akasepa!
MY TAKE;
1. Hii milima si tuliambiwa sasa imesafishwa na majeshi yetu?
2. Polisi waliendaje na mhalifu sugu milimani usiku wa manane?
3. Mhalifu alikuwa anakwenda kuwaonesha polisi wahalifu wenzake, sasa ilikuwaje Polisi hawakutegemea kuwa lazima mapambano yatatokea, unawezaje kwenda kukamata genge la wahalifu kama vile unakamata mbuzi zizini?
4. Kwa hiyo polisi wamempoteza jambazi mkuu na majambazi wasaidizi wote usiku huo!
Enzi za mazingaombwe zimerudi, sasa naanza kumkumbuka pawa Mabula, Pawa Gronda na mapawa wengine waliokuwa wanaambatana na wanamazingaombwe mashuhuri kufanya miujiza mijini na vijijini. Kwamba huyu jambazi ni sawa na yule muuza madawa ya kulevya wa kimataifa, #Tuwe_Kizazi_Cha_Kuhoji_Daima.
Mtatiro J
Kama mema yanavyo pewa kipaumbele na madhaifu ni muhimu kupewa kipaumbeleLolote baya linapotokea mbio mtandaoni,jema hutalisikia...tutafika kweli endapo kila mtu akikazania kuangalia na kukosoa udhaifu wa mwingine bila kutoa suluhisho mbadala!
Agizo bado halijatenguliwaHakuna jambazi yeyote aliyepotea
Hata hiyo Jana kamanda msangi alikuwa akizungumza kwa wasiwasi sana hata alikuwa anaogopa kuangalia kamera
Waseme kama mtuhumiwa kafa kutokana na mateso waliyokuwa wakimpa
Au wameamua kummaliza kwa manufaa ya watu fulani
AU
...............
Kazi ilikuwa hivi:Jeshi la polisi mkoani Mwanza limesema mtuhumiwa wa ujambazi waliyemkamata kwa matukio ya uhalifu yakiwamo ya uporaji maduka ya miamala ya kifedha na mauaji ya watu watatu msikitini, Hamis Juma, ametoroka chini ya ulinzi wa polisi wakati akiwapeleka mlimani kuwaonyesha wahalifu wenzake. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi amesema mtuhumiwa huyo alikuwa mikononi mwa polisi akiwapeleka mahali walipojificha wenzake katika mlima Kiloleli, baada ya polisi na mtuhumiwa huyo kufika eneo la tukio saa 8:00 usiku, ghafla majambazi waliokuwa wamejificha katika mlima huo walianza kurusha risasi kwa askari ambao walitaharuki na kujibu mashambulizi huku wakimsahau mtuhumiwa aliyewapeleka. #Akasepa!
MY TAKE;
1. Hii milima si tuliambiwa sasa imesafishwa na majeshi yetu?
2. Polisi waliendaje na mhalifu sugu milimani usiku wa manane?
3. Mhalifu alikuwa anakwenda kuwaonesha polisi wahalifu wenzake, sasa ilikuwaje Polisi hawakutegemea kuwa lazima mapambano yatatokea, unawezaje kwenda kukamata genge la wahalifu kama vile unakamata mbuzi zizini?
4. Kwa hiyo polisi wamempoteza jambazi mkuu na majambazi wasaidizi wote usiku huo!
Enzi za mazingaombwe zimerudi, sasa naanza kumkumbuka pawa Mabula, Pawa Gronda na mapawa wengine waliokuwa wanaambatana na wanamazingaombwe mashuhuri kufanya miujiza mijini na vijijini. Kwamba huyu jambazi ni sawa na yule muuza madawa ya kulevya wa kimataifa, #Tuwe_Kizazi_Cha_Kuhoji_Daima.
Mtatiro J
Unafamilia wewe?kama unayo mambo yanapofanywa hovyo hovyo nyumbani kwako huwa unaangalia tu bila hata kukemea? Sasa hebu toa suluhisho kwenye Hilo jambo tuoneLolote baya linapotokea mbio mtandaoni,jema hutalisikia...tutafika kweli endapo kila mtu akikazania kuangalia na kukosoa udhaifu wa mwingine bila kutoa suluhisho mbadala!
Lolote baya linapotokea mbio mtandaoni,jema hutalisikia...tutafika kweli endapo kila mtu akikazania kuangalia na kukosoa udhaifu wa mwingine bila kutoa suluhisho mbadala!