goodluck tesha
Member
- Mar 1, 2012
- 29
- 10
Maziko ya mastaa,watangazaji,wanasiasa na wanajeshi yanapewa kipaumbele kwenye vyombo vya habari na wanasiasa wanahudhuria kwa wingi lakini ikiwa ni mwalimu,mkulima,mvuvi,mfugaji au bwana shamba, daktari hakuna msisitizo kama huo.je hao si watu watz wenzangu?mbona twabaguana?nilishalifuatilia hili kwa muda nikagundua tofauti hiyo tubadilike tutende haki kwa wote.