Mazda Verissa1. Matatizo ya Mazida Verisa.
2.Naomba kujua Kama inaweza kuinuliwa Juu maana kako Chini Sana
3.Naiataji kujua ubora wa Mazida Verisa au Vtz ipi nzuri zaidi kwa Ubora wa uimara wake.
Speq zipi za kusumbua? Kwani Dar ni mbali hapo Kuagiza? Harafu msikariri ,karibu Kila kitu kinachopatikana Dar kipo kwenye Miji mikubwa ya Mwanza,Arusha,Dom,Mbeya nkZote ni Baby Walker, Uimara hutegemea na matunzo yako, Ukitaka usinyooshewe vidole na watu chukua Verisa ila kama uko mikoani spear zitakusumbua. Kadiri unavyo liinua juu ndiyo unaongeza uwezekano wa kupata ajali ya kupinduka. Kila la kheri.
Kama yupo Nachingwea?Speq zipi za kusumbua? Kwani Dar ni mbali hapo Kuagiza? Harafu msikariri ,karibu Kila kitu kinachopatikana Dar kipo kwenye Miji mikubwa ya Mwanza,Arusha,Dom,Mbeya nk
Nachingwea na Dar Kuna umbali gani sasaKama yupo Nachingwea?
Kwa niniNakushauri chukua noa mkuu
Ni bora na ina hadhi kuliko hizo hapo juuKwa nini
Aah wee ,hunijui Mazda Verissa matokeo ya Kisasa wewe.Ni bora na ina hadhi kuliko hizo hapo juu
Kwahiyo akipata hitilafu anapaki sio? Ukweli ni kwamba mikoa mingi ya Tanzania ina changamoto kubwa kwenye upatikanaji wa spare parts hasa kwenye magari ambayo si common sana, hivyo kama yuko mikoani huko na endapo hilo ni gari lakwanza avute tu IST. Ila kama yuko Dar achukue Verisa.Nachingwea na Dar Kuna umbali gani sasa
Ndio unapakiKwahiyo akipata hitilafu anapaki sio? Ukweli ni kwamba mikoa mingi ya Tanzania ina changamoto kubwa kwenye upatikanaji wa spare parts hasa kwenye magari ambayo si common sana, hivyo kama yuko mikoani huko na endapo hilo ni gari lakwanza avute tu IST. Ila kama yuko Dar achukue Verisa.