Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
Hivi wewe kweli unajuwa historia weye! Hivyo vikundi vya kishetani vilisha shindwa miaka kenda. Sasa vinawavisha watoto mabomu? Hivi kweli hiyo ndio allah kawatuma au ndio umwamadi?
Hawakushindwa! wao ndio wamewatoa Israel Lebanon, Namna gani Bana, Mbona unajifanya mjuaji sana, Group ya kiislamu ya kweli (inayofauatia sheria ya kiislamu) haishindwi hata siku moja!, Nadhani wewe pia ni katika wale mayahudi weusi (Wewe ni Maxshimba), you are using two different usernames, am I right ?