Mayahudi Weusi

Mandago

JF-Expert Member
Feb 8, 2008
238
99
Ndugu zangu Wakristo na Ndugu zangu Waislamu,

siku hizi wameenea kila sehemu mayahudi weusi hasa hapa TZ wapo, na nia yao na kazi yao kubwa ni kuwachonganisha wakristo na waislamu ili wasipatane, wanatumia kila njia ili wafanikiwe kutekeleza lengo lao hilo, wanatumia hata internet kueneza vitina zao hizo, hata humu.. wamo, wengine wanajifanya kama vile wakristo na kuanza kuwatukana waislamu, na wengine wanajifanya kama vile waislamu na kuanza kuwatukana wakristo, lengo lao ni kuweka chuki baina ya waumini wa dini hizi mbili zinazo karibiana sana katika imani zao, siwezi kuwataja kwa majina jamaa hawa lakini nyie wenyewe mtaweza kuwajua mkiwa mnapima maneno yao, kwa hiyo, kuweni waangalifu...

nawaomba waislamu na wakristo tuendelee kuishi vizuri pamoja kama mababu zetu walivyo kuwa wakiishi kwa mapenzi na kuheshimiana.
 
I see,

before I read your post I was thinking about that....that is true. one of them I think is MaxShimba may be he even get paid for it.
 
Japokuwa simfahamu A. Hitla nafikiri alikuwa mtu sahihi!! Mayahudi yamakuwa kama ugonjwa wa kuambukiza!! Mtu anazaliwa safi lakini akianza kusoma mambo ya wayahudi, moja kwa moja anafanana nao!!
 
Hatudanganyiki, kwa kweli itakuwa vigumu kwa wao kutukonvinsi, sisi wote ni watoto wa baba Ibrahim
 
jamani mbona mna-point wenzenu mna uhakika na haya ukiambiwa thibitisha unaweza ..maxshimba anatatizo gani???
 
Kitabu cha wakristo kuanzia mwanzo hadi ufunuo waandishi wake wote ni wayahudi yaani wayuda mtoto wa yakobo(israel) kama alivyowaita nebkadineza mfalme wa Babel na hawa ni urithi wa ibrahimu(mwebrania) kutoka Mungu. Yesu kristo mwenyewe ni myahudi/mwebrania ambaye wakristo ni wazao wa kifalme wa Ibrahimu kiroho kupitia Yesu. Kwa hiyo hakuna namna yeyote ambayo unaweza kumtenganisha myahudi mwadilifu na mkristo mwadilifu duniani pote. Waislamu wao nao wanadai ni wazao wa Ibrahimu ila tofauti yao na wakristo kitabu chao cha kuruani kimeletwa na mwarabu kwa lugha ya kiarabu. Muunganiko wa Ibrahimu-ismael mpaka Muhamadi(mwarabu) una utata labda kama kuna mwana JR anaeweza kutupa yakini ya ukoo huu. Dini zetu za jadi zinaweza kuwa za kweli endapo Adamu watakuwa ni wengi na sii mmoja. Wazungu Adamu wao waafrika,wahindi,waarabu hali kadhalika.
 
Ndugu zangu Wakristo na Ndugu zangu Waislamu,

siku hizi wameenea kila sehemu mayahudi weusi hasa hapa TZ wapo, na nia yao na kazi yao kubwa ni kuwachonganisha wakristo na waislamu ili wasipatane, wanatumia kila njia ili wafanikiwe kutekeleza lengo lao hilo, wanatumia hata internet kueneza vitina zao hizo, hata humu.. wamo, wengine wanajifanya kama vile wakristo na kuanza kuwatukana waislamu, na wengine wanajifanya kama vile waislamu na kuanza kuwatukana wakristo, lengo lao ni kuweka chuki baina ya waumini wa dini hizi mbili zinazo karibiana sana katika imani zao, siwezi kuwataja kwa majina jamaa hawa lakini nyie wenyewe mtaweza kuwajua mkiwa mnapima maneno yao, kwa hiyo, kuweni waangalifu...

nawaomba waislamu na wakristo tuendelee kuishi vizuri pamoja kama mababu zetu walivyo kuwa wakiishi kwa mapenzi na kuheshimiana.
Nakuunga mkono. Kuna watu humu jamvini ukijaribu kusema lolote dhidi ya serikali ya Israel, wanakuwa wakali mno na kusema kuwa hiyo ni laana.

Serikali ya ya sasa haina uhusiano wowote na dini ya Kikristo, ila kuendeleza sera za kiubaguzi na kikoloni kwa maslahi yao. Matendo yao yanapingana na maelekezo ya dini zote zile. Hata wale Mayahudi asilia (Orthodox Jews) wanaipinga hiyo serikali kwa kupotosha misingi ya dini ya Kiyahudi.

Nimesoma mahali kuwa Israel imeweka watu na kuwalipa kuisifia na kuanzisha chokochoko kama ulivyosema.

Imani ni kitu cha mtu binafsi, hivyo hakuna haja ya kutukana au kukashifu imani ya mwezio. Kama unataka kumvutia kwenye imani yako, mueleweshe vizuri, ashawishike kutokana na matendo yako. Sijui kama binadamu mwenye akili timamu anashaishika kwa matendo maovu au maneno ya matusi.
 
Nakuunga mkono. Kuna watu humu jamvini ukijaribu kusema lolote dhidi ya serikali ya Israel, wanakuwa wakali mno na kusema kuwa hiyo ni laana.

Serikali ya ya sasa haina uhusiano wowote na dini ya Kikristo, ila kuendeleza sera za kiubaguzi na kikoloni kwa maslahi yao. Matendo yao yanapingana na maelekezo ya dini zote zile. Hata wale Mayahudi asilia (Orthodox Jews) wanaipinga hiyo serikali kwa kupotosha misingi ya dini ya Kiyahudi.

Nimesoma mahali kuwa Israel imeweka watu na kuwalipa kuisifia na kuanzisha chokochoko kama ulivyosema.

Imani ni kitu cha mtu binafsi, hivyo hakuna haja ya kutukana au kukashifu imani ya mwezio. Kama unataka kumvutia kwenye imani yako, mueleweshe vizuri, ashawishike kutokana na matendo yako. Sijui kama binadamu mwenye akili timamu anashaishika kwa matendo maovu au maneno ya matusi.

[FONT=Times New Roman, Times, serif][SIZE=+2]Israel's Internet War[/SIZE][/FONT]

[FONT=Times New Roman, Times, serif][SIZE=+1]By JONATHAN COOK[/SIZE][/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif][SIZE=+1]in Nazareth. [/SIZE][/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=+3]T[/SIZE][/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=-1]he passionate support for Israel expressed on talkback sections of websites, internet chat forums, blogs, Twitters and Facebook may not be all that it seems.

Israel's foreign ministry is reported to be establishing a special undercover team of paid workers whose job it will be to surf the internet 24 hours a day spreading positive news about Israel.

Internet-savvy Israeli youngsters, mainly recent graduates and demobilised soldiers with language skills, are being recruited to pose as ordinary surfers while they provide the government's line on the Middle East conflict.

"To all intents and purposes the internet is a theatre in the Israeli-Palestinian conflict, and we must be active in that theatre, otherwise we will lose," said Ilan Shturman, who is responsible for the project.

The existence of an "internet warfare team" came to light when it was included in this year's foreign ministry budget. About $150,000 has been set aside for the first stage of development, with increased funding expected next year.

The team will fall under the authority of a large department already dealing with what Israelis term "hasbara", officially translated as "public explanation" but more usually meaning propaganda. That includes not only government public relations work but more secretive dealings the ministry has with a battery of private organisations and initiatives that promote Israel's image in print, on TV and online.

In an interview this month with the Calcalist, an Israeli business newspaper, Mr Shturman, the deputy director of the ministry's hasbara department, admitted his team would be working undercover.

"Our people will not say: ‘Hello, I am from the hasbara department of the Israeli foreign ministry and I want to tell you the following.' Nor will they necessarily identify themselves as Israelis," he said. "They will speak as net-surfers and as citizens, and will write responses that will look personal but will be based on a prepared list of messages that the foreign ministry developed."

Rona Kuperboim, a columnist for Ynet, Israel's most popular news website, denounced the initiative, saying it indicated that Israel had become a "thought-police state".

She added that "good PR cannot make the reality in the occupied territories prettier. Children are being killed, homes are being bombed, and families are starved."

Her column was greeted by several talkbackers asking how they could apply for a job with the foreign ministry's team.

The project is a formalisation of public relations practices the ministry developed specifically for Israel's assault on Gaza in December and January.

"During Operation Cast Lead we appealed to Jewish communities abroad and with their help we recruited a few thousand volunteers, who were joined by Israeli volunteers," Mr Shturman said.

"We gave them background material and hasbara material, and we sent them to represent the Israeli point of view on news websites and in polls on the internet."

The Israeli army also had one of the most popular sites on the video-sharing site YouTube and regularly uploaded clips, although it was criticised by human rights groups for misleading viewers about what was shown in its footage.

Mr Shturman said that during the war the ministry had concentrated its activities on European websites where audiences were more hostile to Israeli policy. High on its list of target sites for the new project would be BBC Online and Arabic websites, he added.

Elon Gilad, who heads the internet team, told Calcalist that many people had contacted the ministry offering their services during the Gaza attack. "People just asked for information, and afterwards we saw that the information was distributed all over the internet."

He suggested that there had been widespread government cooperation, with the ministry of absorption handing over contact details for hundreds of recent immigrants to Israel, who wrote pro-Israel material for websites in their native languages.

The new team is expected to increase the ministry's close coordination with a private advocacy group, giyus.org (Give Israel Your United Support). About 50,000 activists are reported to have downloaded a programme called Megaphone that sends an alert to their computers when an article critical of Israel is published. They are then supposed to bombard the site with comments supporting Israel.

Nasser Rego of Ilam, a group based in Nazareth that monitors the Israeli media, said Arab organisations in Israel were among those regularly targeted by hasbara groups for "character assassination". He was concerned the new team would try to make such work appear more professional and convincing.

"If these people are misrepresenting who they are, we can guess they won't worry too much about misrepresenting the groups and individuals they write about. Their aim, it's clear, will be to discredit those who stand for human rights and justice for the Palestinians."

When The National called the foreign ministry, Yigal Palmor, a spokesman, denied the existence of the internet team, though he admitted officials were stepping up exploitation of new media.

He declined to say which comments by Mr Shturman or Mr Gilad had been misrepresented by the Hebrew-language media, and said the ministry would not be taking any action over the reports.

Israel has developed an increasingly sophisticated approach to new media since it launched a "Brand Israel" campaign in 2005.

Market research persuaded officials that Israel should play up good news about business success, and scientific and medical breakthroughs involving Israelis.

Mr Shturman said his staff would seek to use websites to improve "Israel's image as a developed state that contributes to the quality of the environment and to humanity".

David Saranga, head of public relations at Israel's consulate-general in New York, which has been leading the push for more upbeat messages about Israel, argued last week that Israel was at a disadvantage against pro-Palestinian advocacy.

"Unlike the Muslim world, which has hundreds of millions of supporters who have adopted the Palestinian narrative in order to slam Israel, the Jewish world numbers only 13 million," he wrote in Ynet.

Israel has become particularly concerned that support is ebbing among the younger generations in Europe and the United States.

In 2007 it emerged that the foreign ministry was behind a photo-shoot published in Maxim, a popular US men's magazine, in which female Israeli soldiers posed in swimsuits.

Jonathan Cook is a writer and journalist based in Nazareth, Israel. His latest books are "[ame="http://www.amazon.com/exec/obidos/ASIN/0745327540/counterpunchmaga"]Israel and the Clash of Civilisations: Iraq, Iran and the Plan to Remake the Middle East"[/ame] (Pluto Press) and "[ame="http://www.amazon.com/exec/obidos/ASIN/1848130317/counterpunchmaga"]Disappearing Palestine: Israel's Experiments in Human Despair[/ame]" (Zed Books). His website is [ame="http://www.jkcook.net/"]www.jkcook.net[/ame].
[/SIZE][/FONT]
 
Kitabu cha wakristo kuanzia mwanzo hadi ufunuo waandishi wake wote ni wayahudi yaani wayuda mtoto wa yakobo(israel) kama alivyowaita nebkadineza mfalme wa Babel na hawa ni urithi wa ibrahimu(mwebrania) kutoka Mungu. Yesu kristo mwenyewe ni myahudi/mwebrania ambaye wakristo ni wazao wa kifalme wa Ibrahimu kiroho kupitia Yesu. Kwa hiyo hakuna namna yeyote ambayo unaweza kumtenganisha myahudi mwadilifu na mkristo mwadilifu duniani pote. Waislamu wao nao wanadai ni wazao wa Ibrahimu ila tofauti yao na wakristo kitabu chao cha kuruani kimeletwa na mwarabu kwa lugha ya kiarabu. Muunganiko wa Ibrahimu-ismael mpaka Muhamadi(mwarabu) una utata labda kama kuna mwana JR anaeweza kutupa yakini ya ukoo huu. Dini zetu za jadi zinaweza kuwa za kweli endapo Adamu watakuwa ni wengi na sii mmoja. Wazungu Adamu wao waafrika,wahindi,waarabu hali kadhalika.

Mayahudi wengi (kama sio wote) hawamtambui kabisa Bwana yesu!

Inasemekana kuwa mayahudi pia ndio walitaka kumsulubu Bwana Yesu
 
Jamani tafadhali waacheni kabisa wayahudi. Matusi kati ya wakristo na waislamu yameanza muda mrefu sana. Mihadhara ya kidini iliyojaa matusi na kashfa dhidi ya dini zingine imeanza toka miaka ya 1990 na chanzo ni waarabu na wala si wayahudi. Mtapata laana na msijue jinsi ya kujisafisha na laana hiyo.
 
Acheni ushamba wenu na muondoke nao mkafie mbali kabisaaaa.....

Sasa mnakuja na Maxshimba kuwa ni Myahudi? Are you kidding me?

Kwanza unafahamu masharti ya kuwa MYAHUDI au unafikiria tu? Unafikiri kila raia wa Izrael ni Myahudi? Masharti gani yanakufanya wewe uwe Myahudi? Ungelifahamu haya basi ungelifahamu kuwa hata Hitler alikuwa MYAHUDI kwa taarifa yenu.

Invisible na viongozi wa JF, hii kitu sasa itawashinda. Inabidi muipanue na kuitenganisha maana PUMBA zinaanza kuwa nyingi kuliko mchele. Ningelipendekeza muanzishe JF UDAKU yaani ukiingia JF unaamua kwenda JF UDAKU au JF Original. Huko kwenye udaku acha kila pumba ziandikwe maana ndiyo sehemu yake. JF original mtu akiandika habari isiyothibishwa basi anakiona cha mtema kuni.

Mtu kama Lenny Kravitz pamoja na jina lake kuwa la Kiyahudi, hawezi kuwa Myahudi na Harry Berry na kujificha kwake kama MPINGO ni KAYAHUDI ka kutupwa ila sidhani kama kana-practise. Fanyeni utafiti mzuri kabla ya kuandika habari sensitive namna hiyo na kuanza kushambulia watu kama MaxShimba kuwa ni WAYAHUDI wanaohatarisha amani Tanzania. Kabla hujamshambulia mwenzio kuwa anahatarisha amani, je wewe huoni pia unahatarisha amani?

Mwisho Wayahudi They dont give F*** what the world is talking abaout. Wangelikuwa wanajali basi UN wangeliwashambulia tangu siku nyingi. Hadi leo hata wakifanya mauwaji wanaambiwa tu WAPUNGUZE kuwa wakali na WASIUWE SAANA. Nafikiri watakuwa wanajali zaidi wananchi wao ambao huwa wanaanza kuona uchungu MAOVU wanayotendewa Wapalestina. Mfano mzuri ni ile familia ambayo mtoto wao aliuawa wakati kijana wa Kipalestina kajilipua na wao wakakubali achukuliwe kiungo chake cha ndani na kupatiwa mtoto wa Kipalestina (figo kama sikosei) na mtoto yule akapona. Familia kama hizi huwa hawapendezwi kabisa na siasa za viongozi wao.

Anyway at the end of the day, Middle East siku zote ni kibox cha baruti.
 
Kitabu cha wakristo kuanzia mwanzo hadi ufunuo waandishi wake wote ni wayahudi yaani wayuda mtoto wa yakobo(israel) kama alivyowaita nebkadineza mfalme wa Babel na hawa ni urithi wa ibrahimu(mwebrania) kutoka Mungu. Yesu kristo mwenyewe ni myahudi/mwebrania ambaye wakristo ni wazao wa kifalme wa Ibrahimu kiroho kupitia Yesu. Kwa hiyo hakuna namna yeyote ambayo unaweza kumtenganisha myahudi mwadilifu na mkristo mwadilifu duniani pote. Waislamu wao nao wanadai ni wazao wa Ibrahimu ila tofauti yao na wakristo kitabu chao cha kuruani kimeletwa na mwarabu kwa lugha ya kiarabu. Muunganiko wa Ibrahimu-ismael mpaka Muhamadi(mwarabu) una utata labda kama kuna mwana JR anaeweza kutupa yakini ya ukoo huu. Dini zetu za jadi zinaweza kuwa za kweli endapo Adamu watakuwa ni wengi na sii mmoja. Wazungu Adamu wao waafrika,wahindi,waarabu hali kadhalika.

NASABU YA MTUME

Nasabu ya Bwana Mtume – Mungu amrehemu na kumshushia amani – kwa upande wa baba yake ni kama ifuatavyo:-

Yeye ni Muhammad Bin Abdillah Bin Abdil – Mutwalib Bin Haashim Bin Abdi Manaf Bin Qusway Bin Kilaab Bin Murrah Bin Kaab Bin Luayyi Bin Ghaalib Bin Fihr Bin Maalik Bin Nadhr Bin Kinaanah Bin Khuzaymah Bin Mudrikata Bin Ilyaas Bin Mudhwar Bin Nizaar Bin Maad Bin Adnaan.

Huu Adnaan ni katika kizazi cha Nabii Ismail Bin Ibrahim – Amani iwe juu yao.
 
[FONT=Times New Roman, Times, serif][SIZE=+2]Israel's Internet War[/SIZE][/FONT]

[FONT=Times New Roman, Times, serif][SIZE=+1]By JONATHAN COOK[/SIZE][/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif][SIZE=+1]in Nazareth. [/SIZE][/FONT]
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=+3]T[/SIZE][/FONT][FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif][SIZE=-1]he passionate support for Israel expressed on talkback sections of websites, internet chat forums, blogs, Twitters and Facebook may not be all that it seems.

Israel’s foreign ministry is reported to be establishing a special undercover team of paid workers whose job it will be to surf the internet 24 hours a day spreading positive news about Israel.

Internet-savvy Israeli youngsters, mainly recent graduates and demobilised soldiers with language skills, are being recruited to pose as ordinary surfers while they provide the government’s line on the Middle East conflict.

“To all intents and purposes the internet is a theatre in the Israeli-Palestinian conflict, and we must be active in that theatre, otherwise we will lose,” said Ilan Shturman, who is responsible for the project.

The existence of an “internet warfare team” came to light when it was included in this year’s foreign ministry budget. About $150,000 has been set aside for the first stage of development, with increased funding expected next year.

The team will fall under the authority of a large department already dealing with what Israelis term “hasbara”, officially translated as “public explanation” but more usually meaning propaganda. That includes not only government public relations work but more secretive dealings the ministry has with a battery of private organisations and initiatives that promote Israel’s image in print, on TV and online.

In an interview this month with the Calcalist, an Israeli business newspaper, Mr Shturman, the deputy director of the ministry’s hasbara department, admitted his team would be working undercover.

“Our people will not say: ‘Hello, I am from the hasbara department of the Israeli foreign ministry and I want to tell you the following.’ Nor will they necessarily identify themselves as Israelis,” he said. “They will speak as net-surfers and as citizens, and will write responses that will look personal but will be based on a prepared list of messages that the foreign ministry developed.”

Rona Kuperboim, a columnist for Ynet, Israel’s most popular news website, denounced the initiative, saying it indicated that Israel had become a “thought-police state”.

She added that “good PR cannot make the reality in the occupied territories prettier. Children are being killed, homes are being bombed, and families are starved.”

Her column was greeted by several talkbackers asking how they could apply for a job with the foreign ministry’s team.

The project is a formalisation of public relations practices the ministry developed specifically for Israel’s assault on Gaza in December and January.

“During Operation Cast Lead we appealed to Jewish communities abroad and with their help we recruited a few thousand volunteers, who were joined by Israeli volunteers,” Mr Shturman said.

“We gave them background material and hasbara material, and we sent them to represent the Israeli point of view on news websites and in polls on the internet.”

The Israeli army also had one of the most popular sites on the video-sharing site YouTube and regularly uploaded clips, although it was criticised by human rights groups for misleading viewers about what was shown in its footage.

Mr Shturman said that during the war the ministry had concentrated its activities on European websites where audiences were more hostile to Israeli policy. High on its list of target sites for the new project would be BBC Online and Arabic websites, he added.

Elon Gilad, who heads the internet team, told Calcalist that many people had contacted the ministry offering their services during the Gaza attack. “People just asked for information, and afterwards we saw that the information was distributed all over the internet.”

He suggested that there had been widespread government cooperation, with the ministry of absorption handing over contact details for hundreds of recent immigrants to Israel, who wrote pro-Israel material for websites in their native languages.

The new team is expected to increase the ministry’s close coordination with a private advocacy group, giyus.org (Give Israel Your United Support). About 50,000 activists are reported to have downloaded a programme called Megaphone that sends an alert to their computers when an article critical of Israel is published. They are then supposed to bombard the site with comments supporting Israel.

Nasser Rego of Ilam, a group based in Nazareth that monitors the Israeli media, said Arab organisations in Israel were among those regularly targeted by hasbara groups for “character assassination”. He was concerned the new team would try to make such work appear more professional and convincing.

“If these people are misrepresenting who they are, we can guess they won’t worry too much about misrepresenting the groups and individuals they write about. Their aim, it’s clear, will be to discredit those who stand for human rights and justice for the Palestinians.”

When The National called the foreign ministry, Yigal Palmor, a spokesman, denied the existence of the internet team, though he admitted officials were stepping up exploitation of new media.

He declined to say which comments by Mr Shturman or Mr Gilad had been misrepresented by the Hebrew-language media, and said the ministry would not be taking any action over the reports.

Israel has developed an increasingly sophisticated approach to new media since it launched a “Brand Israel” campaign in 2005.

Market research persuaded officials that Israel should play up good news about business success, and scientific and medical breakthroughs involving Israelis.

Mr Shturman said his staff would seek to use websites to improve “Israel’s image as a developed state that contributes to the quality of the environment and to humanity”.

David Saranga, head of public relations at Israel’s consulate-general in New York, which has been leading the push for more upbeat messages about Israel, argued last week that Israel was at a disadvantage against pro-Palestinian advocacy.

“Unlike the Muslim world, which has hundreds of millions of supporters who have adopted the Palestinian narrative in order to slam Israel, the Jewish world numbers only 13 million,” he wrote in Ynet.

Israel has become particularly concerned that support is ebbing among the younger generations in Europe and the United States.

In 2007 it emerged that the foreign ministry was behind a photo-shoot published in Maxim, a popular US men’s magazine, in which female Israeli soldiers posed in swimsuits.

[/SIZE][/FONT]

So it is true!!!
 
Ndugu zangu Wakristo na Ndugu zangu Waislamu,

siku hizi wameenea kila sehemu mayahudi weusi hasa hapa TZ wapo, na nia yao na kazi yao kubwa ni kuwachonganisha wakristo na waislamu ili wasipatane, wanatumia kila njia ili wafanikiwe kutekeleza lengo lao hilo, wanatumia hata internet kueneza vitina zao hizo, hata humu.. wamo, wengine wanajifanya kama vile wakristo na kuanza kuwatukana waislamu, na wengine wanajifanya kama vile waislamu na kuanza kuwatukana wakristo, lengo lao ni kuweka chuki baina ya waumini wa dini hizi mbili zinazo karibiana sana katika imani zao, siwezi kuwataja kwa majina jamaa hawa lakini nyie wenyewe mtaweza kuwajua mkiwa mnapima maneno yao, kwa hiyo, kuweni waangalifu...

nawaomba waislamu na wakristo tuendelee kuishi vizuri pamoja kama mababu zetu walivyo kuwa wakiishi kwa mapenzi na kuheshimiana.

Kwanza ni wayahudi, kwa nini uwaite "mayahudi"? Huo ni ubaguzi na itakua generalization kubwa kuwaweka wayahudi wote katika kundi moja. Kitendo cha wewe kuwaita hivyo inaonyesha moja kwa moja una ugomvi binafsi nao na tayari hiyo inaonyesha upo biased.

Kuhusu matatizo kati ya Waislamu na Waikristo tusi kimbilie kulaumu watu. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuchonganishwa kwa maana ata pima maneno mwenyewe na kujiamulia.

Pia kutoa shutuma nzito kama hizi bila ushahidi nadhani si vizuri. Toa ushahidi haswa kwa upande wa Tanzania tupime maneno yako. Siyo tuna kimbilia kutafuta mchawi katika matatizo yetu wenyewe bila kuanglia chanzo halisi.

I'm sorry to say hii thread itajaa majibu ya kishabiki bila kupima mambo. Utaona majority ya Waislamu waki kubaliana na mtoa mada simply because historically wayahudi na waislamu ni adversaries na kwa sababu ya ishu ya Israel na Palestina. I'm sorry but I'm calling it the way i see it.
 
Kwanza ni wayahudi, kwa nini uwaite "mayahudi"? Huo ni ubaguzi na itakua generalization kubwa kuwaweka wayahudi wote katika kundi moja. Kitendo cha wewe kuwaita hivyo inaonyesha moja kwa moja una ugomvi binafsi nao na tayari hiyo inaonyesha upo biased.

Kuhusu matatizo kati ya Waislamu na Waikristo tusi kimbilie kulaumu watu. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuchonganishwa kwa maana ata pima maneno mwenyewe na kujiamulia.

Pia kutoa shutuma nzito kama hizi bila ushahidi nadhani si vizuri. Toa ushahidi haswa kwa upande wa Tanzania tupime maneno yako. Siyo tuna kimbilia kutafuta mchawi katika matatizo yetu wenyewe bila kuanglia chanzo halisi.

I'm sorry to say hii thread itajaa majibu ya kishabiki bila kupima mambo. Utaona majority ya Waislamu waki kubaliana na mtoa mada simply because historically wayahudi na waislamu ni adversaries na kwa sababu ya ishu ya Israel na Palestina. I'm sorry but I'm calling it the way i see it.

Habari hii ipo hata kwenye media kila sehemu hata foreign ministry budget ya timu hii ya Internet imewekwa,

The existence of an "internet warfare team" came to light when it was included in this year's foreign ministry budget. About $150,000 has been set aside for the first stage of development, with increased funding expected next year.
 
Kwanza ni wayahudi, kwa nini uwaite "mayahudi"? Huo ni ubaguzi na itakua generalization kubwa kuwaweka wayahudi wote katika kundi moja. Kitendo cha wewe kuwaita hivyo inaonyesha moja kwa moja una ugomvi binafsi nao na tayari hiyo inaonyesha upo biased.

Kuhusu matatizo kati ya Waislamu na Waikristo tusi kimbilie kulaumu watu. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuchonganishwa kwa maana ata pima maneno mwenyewe na kujiamulia.

Pia kutoa shutuma nzito kama hizi bila ushahidi nadhani si vizuri. Toa ushahidi haswa kwa upande wa Tanzania tupime maneno yako. Siyo tuna kimbilia kutafuta mchawi katika matatizo yetu wenyewe bila kuanglia chanzo halisi.

I'm sorry to say hii thread itajaa majibu ya kishabiki bila kupima mambo. Utaona majority ya Waislamu waki kubaliana na mtoa mada simply because historically wayahudi na waislamu ni adversaries na kwa sababu ya ishu ya Israel na Palestina. I'm sorry but I'm calling it the way i see it.

Mwenye macho na aone.
 
Habari hii ipo hata kwenye media kila sehemu hata foreign ministry budget ya timu hii ya Internet imewekwa,

The existence of an “internet warfare team” came to light when it was included in this year’s foreign ministry budget. About $150,000 has been set aside for the first stage of development, with increased funding expected next year.

Sasa ngoja nikuulize swali mkuu. Umesema ipo kwenye foreign budget which I assume ni ya Israel. Nime patia? Sasa kama ni foreign ministry it means that is the work of the government. Is it right to judge all Jews(mind you that not all jews are from Israel) because of the work of a single government hata kama unacho sema ni kweli?

Also mind you that all governments in the world seek to promote their national interests. The work of any government is to promote national interest. Of course Israel will use it's resources to achieve this goal. Look at every country in the world (especially ones with the resources and funds) and you will see the pattern is the same. SO I don't think it's fair to single out jews especially saying "mayahudi" as if all of them are a part of the governments policies. And if you didn't know Israelis(the wananchi) have demonstrated a lot of times against Israel over Palestine.
 
Wayaudi ni watu wazuri saana na ni wabalikiwa wateule wa Mungu,
Nilini uliwai kusikia myahudi kajitoa muhanga, je! mtu mwenye timamu anaweza kujitoa muanga?

Hizi tabia za uvivu tunakuwa wavivu hata wakufatilia histilia yetu wenyewe ya watu ndio tutaweza?

Are we stupid? kwanini tuwaingilie waraabu na Waisrael? kama tukisema tuwaunge mkono kama kitabu basi kama unao uwezo wakufikili unatagundua kitabu cha kwanza ni kipi maana wabongo mambo mengi mmezoea kusimuliwa inabidi mjiongeze ili haya mambo myaelewe.

Biblia ndio iliyo toka mwaznoni kabisa kabla ya quran Muhamad kazaliwa baada ya miaka kama mia saba bible ikiwa imesha somwa.................
haya if you compute this statistic in the bible its writen that Jewish Are blessed alafu ukija kwenye quran iliyo andikwa baada ya biblia itakwambia waislael ni nguruwe Usipo jiongeza huwezi elewa hata sikumoja maana wengine mnatumia akili kama mazoea tu bila hata kutafakali.

Tukirudi kwenye mada Hakuna jipya la kuwachukia wayahudi sababu wamejenga bugando,muhimbili, udsm nk. ninaueshim mchango wao sana
 
Sasa ngoja nikuulize swali mkuu. Umesema ipo kwenye foreign budget which I assume ni ya Israel. Nime patia? Sasa kama ni foreign ministry it means that is the work of the government. Is it right to judge all Jews(mind you that not all jews are from Israel) because of the work of a single government hata kama unacho sema ni kweli?

Also mind you that all governments in the world seek to promote their national interests. The work of any government is to promote national interest. Of course Israel will use it's resources to achieve this goal. Look at every country in the world (especially ones with the resources and funds) and you will see the pattern is the same. SO I don't think it's fair to single out jews especially saying "mayahudi" as if all of them are a part of the governments policies. And if you didn't know Israelis(the wananchi) have demonstrated a lot of times against Israel over Palestine.

Mayahudi wanajulikana bwana, kazi yao kubwa ni unafiki, uchonganishaji na kuvunja mikataba.
 
Back
Top Bottom