Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,573
Sijakuelewa kijana.?!Af mkuu samahani mabeki tatu pia ni watu bora sana na muhimu kwetu sote. hata aliyekuwa beki tatu anaweza kumiliki beki tatu kwa sikuza baadaye.
muulize shemela bin wifi amewahi fanya kazi pale IIala Boma maghorofani? opp. na ofisi ya mkuu wa mkoa? siku za nyuma kidogo sura siyo ngeni
Au wewe unataka kusema huyo beki tatu?!
Utapotea aisee anaweza kukunua huyo mama sawa.
Never understimate the one whom you don't know.