Mayahudi wa Ethiopia waliorubuniwa kwenda Israel wapiga "takbir" waendelea kulalamikia unyanyasaji

Dunia imepitia katika tawala kuu 4. Hii ya Rumi ni Tawala ya 5.

Waami na Waajemi ndio Iran na Iraq

Waliokuwa na Elimu duniani ni utawala wa Wayunani / wagiriki

Ottoman Empire ilikuja baadae.
Kasome vema.
Kumbuka Ottoman Empire ilivunjwa na Greek kama umesahau.
Greek ndio waliivunja Ottoman empire .
Halafu unapozungumzia Ottoman ilicomprise kudsi,kurdi,fursi
 
Kasome vema.
Kumbuka Ottoman Empire ilivunjwa na Greek kama umesahau.
Greek ndio waliivunja Ottoman empire .
Halafu unapozungumzia Ottoman ilicomprise kudsi,kurdi,fursi
Wewe huwa ni Mbishi na huwa unajikuta wewe ndio unajua kila kitu...tatizo linaanzia hapo.

Tawala za dunia:-

-1) Dunia chini ya Adam na Eva- waliojaliwa kila kitu na maarifa

2) Dunia chini ya Utawala wa Nebukadneza- enzi ya Babeli - Waliojaliwa maono ya ndoto ya siku hizi

3) Dunia chini ya Waami na Waajemi (Iran & Iraq ya leo) - Waliojaliwa teknolojia, wale waperisi (Persians)

4) Dunia chini ya Wayunani (Greeks) - Waliojaliwa ELIMU, Socrates, Aristotle,Plato et.all

5) Dunia chini ya Warumi (Roman Empire) - Waliojaliwa nguvu ya uchumi na utawala. (Economic & Management)

Ottoman Empire haikutawala Dunia ila ilitawala Western world, Ulaya yote kuanzia na Uturuki hadi sehemu za kirumi kama Spain.

Hizo ndizo tawala kubwa zilizoshika dola ya Dunia.
 
Wewe huwa ni Mbishi na huwa unajikuta wewe ndio unajua kila kitu...tatizo linaanzia hapo.

Tawala za dunia:-

-1) Dunia chini ya Adam na Eva- waliojaliwa kila kitu na maarifa

2) Dunia chini ya Utawala wa Nebukadneza- enzi ya Babeli - Waliojaliwa maono ya ndoto ya siku hizi

3) Dunia chini ya Waami na Waajemi (Iran & Iraq ya leo) - Waliojaliwa teknolojia, wale waperisi (Persians)

4) Dunia chini ya Wayunani (Greeks) - Waliojaliwa ELIMU, Socrates, Aristotle,Plato et.all

5) Dunia chini ya Warumi (Roman Empire) - Waliojaliwa nguvu ya uchumi na utawala. (Economic & Management)

Ottoman Empire haikutawala Dunia ila ilitawala Western world, Ulaya yote kuanzia na Uturuki hadi sehemu za kirumi kama Spain.

Hizo ndizo tawala kubwa zilizoshika dola ya Dunia.
Unavyoelewa tawala ya dunia unaielewaje?
Maanake hata hzo tawala ulizozitaja zilishikiliwa mataifa makubwa huko ndiko kutawala dunia kwenyewe mkuu.
Au hyo Greek ilitawala hadi Africa nzima?
Jibu laa,kushikiliwa mataifa makubwa ndiko kutawala dunia kwenyewe mkuu.
Hiko ndicho Ottoman empire ilifanya pamoja na tawala ulizozitaja.
Na hao Greek ndio waliohusika vikali kuibomoa Ottoman empire bro.
Tumekinzana padogo sana
 
Unavyoelewa tawala ya dunia unaielewaje?
Maanake hata hzo tawala ulizozitaja zilishikiliwa mataifa makubwa huko ndiko kutawala dunia kwenyewe mkuu.
Au hyo Greek ilitawala hadi Africa nzima?
Jibu laa,kushikiliwa mataifa makubwa ndiko kutawala dunia kwenyewe mkuu.
Hiko ndicho Ottoman empire ilifanya pamoja na tawala ulizozitaja.
Na hao Greek ndio waliohusika vikali kuibomoa Ottoman empire bro.
Tumekinzana padogo sana
Ndio, maana yake ni kwamba hizo tawala zilikuwa na Effect & influence kwa DUNIA NZIMA, hakuna hata moja hapo ambayo haikuathiri bara lolote.

Hata hiyo Ottoman Empire iliasisi Uislam Egypt kama ulikuwa hufahamu hilo.

Greeks NDIO, Alexander the Great alipanua utawala wake mpaka India ya zamani na kuitawala, haikutosha alitawala hadi Egypt na Alexandria unayoisikia Egypt imetokana na jina lake.

Greeks mpaka Tanzania walitawala na Orthodox churches ndio oldest churches huku Afrika ya Mashariki,Central na kwingineko,

International schools za mwanzo na za muhimu sana Tanganyika ni za Wagiriki sio Warumi(Romans) mfano St. Constantine Arusha na kanisa lao lenye zege nzito sana mpaka kwenye paa, hata Kilimanjaro pia lipo karibu na uwanja wa mashujaa na hata Bagamoyo lipo.

Warumi ndio usiseme, tawala yao ina nguvu sana Duniani, hata origin ya majina ya nchi zote katika mabara almost yote yalitawaliwa na lugha yao, na zinaishia na - IA. kwa mfano India, Libia baadae ikaitwa Libya, Saudi Arabia, Tunisia, Albania, Russia, Hispania (Spain in english), Latvia, Zambia, Nigeria, Tanzania etc

Hizi zote zilikuwa lazima zitokee ikiwa wewe ni msomaji mzuri wa World history na zaidi vitabu vya dini. Walitumia LUGHA na nguvu ya JESHI kuconguer Dunia

Ottoman Empire na Greek walifail kwenye aspect moja ya kusambaza aspect ya culture na civilization yao,walifeli wapi? Kwenye LUGHA.

Yapo mengi ya kujustify haya based on Facts ila tatizo ukizungumza ukweli Waislam mnakimbilia kuiweka katika religious view na kuona historia inawadhulumu.
 
Ndio, maana yake ni kwamba hizo tawala zilikuwa na Effect & influence kwa DUNIA NZIMA, hakuna hata moja hapo ambayo haikuathiri bara lolote.

Hata hiyo Ottoman Empire iliasisi Uislam Egypt kama ulikuwa hufahamu hilo.

Greeks NDIO, Alexander the Great alipanua utawala wake mpaka India ya zamani na kuitawala, haikutosha alitawala hadi Egypt na Alexandria unayoisikia Egypt imetokana na jina lake.

Greeks mpaka Tanzania walitawala na Orthodox churches ndio oldest churches huku Afrika ya Mashariki,Central na kwingineko,

International schools za mwanzo na za muhimu sana Tanganyika ni za Wagiriki sio Warumi(Romans) mfano St. Constantine Arusha na kanisa lao lenye zege nzito sana mpaka kwenye paa, hata Kilimanjaro pia lipo karibu na uwanja wa mashujaa na hata Bagamoyo lipo.

Warumi ndio usiseme, tawala yao ina nguvu sana Duniani, hata origin ya majina ya nchi zote katika mabara almost yote yalitawaliwa na lugha yao, na zinaishia na - IA. kwa mfano India, Libia baadae ikaitwa Libya, Saudi Arabia, Tunisia, Albania, Russia, Hispania (Spain in english), Latvia, Zambia, Nigeria, Tanzania etc

Hizi zote zilikuwa lazima zitokee ikiwa wewe ni msomaji mzuri wa World history na zaidi vitabu vya dini. Walitumia LUGHA na nguvu ya JESHI kuconguer Dunia

Ottoman Empire na Greek walifail kwenye aspect moja ya kusambaza aspect ya culture na civilization yao,walifeli wapi? Kwenye LUGHA.

Yapo mengi ya kujustify haya based on Facts ila tatizo ukizungumza ukweli Waislam mnakimbilia kuiweka katika religious view na kuona historia inawadhulumu.
Kumbuka Ottoman Empire ilikamata mpk Spain mkuu.
Kuna mataifa makubwa ulaya yaliyotawaliwa na Ottoman empire kayatafute.
 
Wewe huwa ni Mbishi na huwa unajikuta wewe ndio unajua kila kitu...tatizo linaanzia hapo.

Tawala za dunia:-

-1) Dunia chini ya Adam na Eva- waliojaliwa kila kitu na maarifa

2) Dunia chini ya Utawala wa Nebukadneza- enzi ya Babeli - Waliojaliwa maono ya ndoto ya siku hizi

3) Dunia chini ya Waami na Waajemi (Iran & Iraq ya leo) - Waliojaliwa teknolojia, wale waperisi (Persians)

4) Dunia chini ya Wayunani (Greeks) - Waliojaliwa ELIMU, Socrates, Aristotle,Plato et.all

5) Dunia chini ya Warumi (Roman Empire) - Waliojaliwa nguvu ya uchumi na utawala. (Economic & Management)

Ottoman Empire haikutawala Dunia ila ilitawala Western world, Ulaya yote kuanzia na Uturuki hadi sehemu za kirumi kama Spain.

Hizo ndizo tawala kubwa zilizoshika dola ya Dunia.
Sasa Babylon kwa Nebukadneza unadhani ni wapi ? Hapo bado ni Iraq kaangalie ramani ya dunia utaona mito Euphrates na Tigris ambayo ipo huko na sio ndio inaitwa rivers of babylon.bado ustaaarabu umeanzia huko Iran na Iraq Kila wasomi wanajua hakuna anaebisha Hilo na hao watu wa kipindi hicho wengi walikuwa hawana dini.
 
Back
Top Bottom