Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,658
- 5,139
Akili yangu inaniambia kuwa Mkuu wa Nchi hayupo vyema kwa sasa hali hiyo inafatia kutokana na vuguvugu la uchaguzi wa mwaka 2025,inaonekana kuwa anawaza kugombea Urais ila kuna mgomo wa chini chini dhidi ya watu wa chama chake,hajui alishike lipi aache lipi kila mtu ni rafiki na adui kwake.
Tumeshuhudia teuzi na tenguzi nyingi huenda tukaendelea kushuhudia makubwa zaidi,siasa ni mchezo mchafu.
Bara vs Kisiwani
Kike vs Kuume
Magufuli vs Kikwete
patamu hapa
Tumeshuhudia teuzi na tenguzi nyingi huenda tukaendelea kushuhudia makubwa zaidi,siasa ni mchezo mchafu.
Bara vs Kisiwani
Kike vs Kuume
Magufuli vs Kikwete
patamu hapa